Karibuni katika channel ya nyimbo katoliki kupitia kiungo hiki👇
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R/102
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R/102
WhatsApp.com
Nyimbo Katoliki
WhatsApp Channel Invite
MASOMO YA MISA NOVEMBA 9, 2023; ALHAMISI: JUMA LA 31 LA MWAKA
KUTABARUKIWA BASILIKA LA LATERANI
Sikukuu
Nyeupe
Zaburi: Tazama sala ya siku
SOMO 1: Eze 43:1-2, 4-7
Malaika alinileta mpaka langoni, yaani, lango lile lielekealo upande wa mashariki; na tazama, huo utukufu wa Mungu wa Israeli ulitokea kwa njia ya mashariki; na sauti yake ilikuwa kama mshindo wa maji mengi, nayo nchi iling’aa kwa utukufu wake. Na huo utukufu wa Bwana ukaingia ndani ya nyumba, kwa njia ya lango lile lielekealo upande wa mashariki. Kisha Roho ikaniinua, ikanichukua mpaka ua wa ndani; na tazama, utukufu wa Bwana uliijaza nyumba. Nikasikia sauti ya mmoja asemaye nami, itokayo katika nyumba hiyo; na mtu akasimama karibu nami. Akaniambia, Mwanadamu, hapa ni mahali pa kiti changu cha enzi, na mahali pa nyayo za miguu yangu, nitakapokaa kati ya wana wa Israeli milele.
WIMBO WA KATIKATI: Zab. 122: 1-5, 7-8
Nalifurahi waliponiambia,
Na twende nyumbani kwa Bwana.
Miguu yetu imesimama
Ndani ya malango yako, Ee Yerusalemu.
(K) Nalifurahi waliponiambia, na twende nyumbani kwa Bwana.
Ee Yerusalemu uliyejengwa
Kama mji ulioshikamana,
Huko ndiko walikopanda kabila,
Kabila za Bwana. (K)
Ushuhuda kwa Israeli,
Walishukuru jina la Bwana.
Maana huko viliwekwa viti vya hukumu,
Viti vya enzi vya mbari ya Daudi. (K)
Kwa ajili ya ndugu zangu na rafiki zangu
Niseme sasa, Amani ikae nawe.
Kwa ajili ya nyumba ya Bwana, Mungu wetu,
Nikutafutie mema. (K)
SOMO 2: 1 Kor 3:9-13, 16-17
Ninyi ni jengo la Mungu. Kwa kadiri ya neema ya Mungu niliyopewa, mimi, kama mkuu wa wajenzi mwenye hekima, naliuweka msingi, na mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mtu na aangalie jinsi anavyojenga juu yake. Maana msingi mwingine hakuna mtu awezaye kuuweka, isipokuwa ni ule uliokwisha kuwekwa, yaani, Yesu Kristo. Lakini kama mtu akijenga juu ya msingi huo, dhahabu au fedha au mawe ya thamani, au miti au majani au manyasi, kazi ya kila mtu itakuwa dhahiri. Maana siku ile itaidhihirisha, kwa kuwa yafunuliwa katika moto; na ule moto wenyewe utaijaribu kazi ya kila mtu, ni ya namna gani. Hamjui ya kuwa ninyi mmekuwa hekalu la Mungu, na ya kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu? Kama mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu mtu huyo. Kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, ambalo ndilo ninyi.
INJILI: Yn 2:13-22
Pasaka ya Wayahudi ilikuwa karibu; naye Yesu alikwea mpaka Yerusalemu. Akaona pale hekaluni watu waliokuwa wakiuza ng’ombe na kondoo na njiwa, na wenye kuvunja fedha wameketi. Akafanya kikoto cha kambaa, akawatoa wote katika hekalu, na kondoo na ng’ombe; akamwaga fedha za wenye kuvunja fedha, akazipindua meza zao; akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa, Yaondoeni haya; msiifanye nyumba ya Baba yangu kuwa nyumba ya biashara. Wanafunzi wake wakakumbuka ya kuwa imeandikwa, Wivu wa nyumba yako utanila. Basi Wayahudi wakajibu, wakamwambia, Ni ishara gani utuoneshayo, kwamba unafanya haya? Yesu akajibu, akawaambia, Livunjeni hekalu hili, nami katika siku tatu nitalisimamisha. Basi Wayahudi wakasema, Hekalu hili lilijengwa katika muda wa miaka arobaini na sita, nawe utalisimamisha katika siku tatu? Lakini yeye alinena habari za hekalu la mwili wake. Basi alipofufuka katika wafu, wanafunzi wake wakakumbuka ya kuwa alisema hivi, wakaliamini lile andiko na lile neno alilolinena Yesu.
TAFAKARI:
KANISA LINAPASWA KUHESHIMIWA: Leo Kanisa linakumbuka kwa heshima kutabarukiwa Basilika la Laterani. Huenda baadhi yetu tumeshashuhudia jinsi makanisa yanavyobarikiwa na mengine, Altare kuwekwa wakfu. Hili huwa ni tukio zito na linalofanyika kiibada. Yote haya ni kuonyesha umuhimu na uzito wa sehemu yenyewe kuwa ni tofauti kabisa na majengo mengine kama kumbi za sherehe au mikutano na hivi kututaka tupaheshimu daima. Ndio maana Yesu alipoona watu wametumia sivyo lile hekalu, tunaelezwa aliwafukuza. Hilo lilimkera na kumghadhibisha. Paulo katika somo la pili ametukumbusha kuwa miili yetu ni hekalu la Mungu, tusiiharibu. Ulimwengu wa leo unawasifu wanaoichezea miili yao, na hata wanataka kuyabadili maumbile, zikiwemo jinsia. Mume anataka ajigeuze awe mke na vivyo hivyo kwa mwanamke.
KUTABARUKIWA BASILIKA LA LATERANI
Sikukuu
Nyeupe
Zaburi: Tazama sala ya siku
SOMO 1: Eze 43:1-2, 4-7
Malaika alinileta mpaka langoni, yaani, lango lile lielekealo upande wa mashariki; na tazama, huo utukufu wa Mungu wa Israeli ulitokea kwa njia ya mashariki; na sauti yake ilikuwa kama mshindo wa maji mengi, nayo nchi iling’aa kwa utukufu wake. Na huo utukufu wa Bwana ukaingia ndani ya nyumba, kwa njia ya lango lile lielekealo upande wa mashariki. Kisha Roho ikaniinua, ikanichukua mpaka ua wa ndani; na tazama, utukufu wa Bwana uliijaza nyumba. Nikasikia sauti ya mmoja asemaye nami, itokayo katika nyumba hiyo; na mtu akasimama karibu nami. Akaniambia, Mwanadamu, hapa ni mahali pa kiti changu cha enzi, na mahali pa nyayo za miguu yangu, nitakapokaa kati ya wana wa Israeli milele.
WIMBO WA KATIKATI: Zab. 122: 1-5, 7-8
Nalifurahi waliponiambia,
Na twende nyumbani kwa Bwana.
Miguu yetu imesimama
Ndani ya malango yako, Ee Yerusalemu.
(K) Nalifurahi waliponiambia, na twende nyumbani kwa Bwana.
Ee Yerusalemu uliyejengwa
Kama mji ulioshikamana,
Huko ndiko walikopanda kabila,
Kabila za Bwana. (K)
Ushuhuda kwa Israeli,
Walishukuru jina la Bwana.
Maana huko viliwekwa viti vya hukumu,
Viti vya enzi vya mbari ya Daudi. (K)
Kwa ajili ya ndugu zangu na rafiki zangu
Niseme sasa, Amani ikae nawe.
Kwa ajili ya nyumba ya Bwana, Mungu wetu,
Nikutafutie mema. (K)
SOMO 2: 1 Kor 3:9-13, 16-17
Ninyi ni jengo la Mungu. Kwa kadiri ya neema ya Mungu niliyopewa, mimi, kama mkuu wa wajenzi mwenye hekima, naliuweka msingi, na mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mtu na aangalie jinsi anavyojenga juu yake. Maana msingi mwingine hakuna mtu awezaye kuuweka, isipokuwa ni ule uliokwisha kuwekwa, yaani, Yesu Kristo. Lakini kama mtu akijenga juu ya msingi huo, dhahabu au fedha au mawe ya thamani, au miti au majani au manyasi, kazi ya kila mtu itakuwa dhahiri. Maana siku ile itaidhihirisha, kwa kuwa yafunuliwa katika moto; na ule moto wenyewe utaijaribu kazi ya kila mtu, ni ya namna gani. Hamjui ya kuwa ninyi mmekuwa hekalu la Mungu, na ya kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu? Kama mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu mtu huyo. Kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, ambalo ndilo ninyi.
INJILI: Yn 2:13-22
Pasaka ya Wayahudi ilikuwa karibu; naye Yesu alikwea mpaka Yerusalemu. Akaona pale hekaluni watu waliokuwa wakiuza ng’ombe na kondoo na njiwa, na wenye kuvunja fedha wameketi. Akafanya kikoto cha kambaa, akawatoa wote katika hekalu, na kondoo na ng’ombe; akamwaga fedha za wenye kuvunja fedha, akazipindua meza zao; akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa, Yaondoeni haya; msiifanye nyumba ya Baba yangu kuwa nyumba ya biashara. Wanafunzi wake wakakumbuka ya kuwa imeandikwa, Wivu wa nyumba yako utanila. Basi Wayahudi wakajibu, wakamwambia, Ni ishara gani utuoneshayo, kwamba unafanya haya? Yesu akajibu, akawaambia, Livunjeni hekalu hili, nami katika siku tatu nitalisimamisha. Basi Wayahudi wakasema, Hekalu hili lilijengwa katika muda wa miaka arobaini na sita, nawe utalisimamisha katika siku tatu? Lakini yeye alinena habari za hekalu la mwili wake. Basi alipofufuka katika wafu, wanafunzi wake wakakumbuka ya kuwa alisema hivi, wakaliamini lile andiko na lile neno alilolinena Yesu.
TAFAKARI:
KANISA LINAPASWA KUHESHIMIWA: Leo Kanisa linakumbuka kwa heshima kutabarukiwa Basilika la Laterani. Huenda baadhi yetu tumeshashuhudia jinsi makanisa yanavyobarikiwa na mengine, Altare kuwekwa wakfu. Hili huwa ni tukio zito na linalofanyika kiibada. Yote haya ni kuonyesha umuhimu na uzito wa sehemu yenyewe kuwa ni tofauti kabisa na majengo mengine kama kumbi za sherehe au mikutano na hivi kututaka tupaheshimu daima. Ndio maana Yesu alipoona watu wametumia sivyo lile hekalu, tunaelezwa aliwafukuza. Hilo lilimkera na kumghadhibisha. Paulo katika somo la pili ametukumbusha kuwa miili yetu ni hekalu la Mungu, tusiiharibu. Ulimwengu wa leo unawasifu wanaoichezea miili yao, na hata wanataka kuyabadili maumbile, zikiwemo jinsia. Mume anataka ajigeuze awe mke na vivyo hivyo kwa mwanamke.
Huko ni kumkebehi Mungu, kumkasirisha na kumfanya atamani kutufukuza na kututoa nje kwa hasira. Tujue miili yetu imebeba sura na mfano wa Mungu.
SALA: Bikira Maria Mama wa Kanisa, tuombee neema ya kuwa na heshima kwa Kanisa na kutunza miili yetu.Amina.
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R/120
SALA: Bikira Maria Mama wa Kanisa, tuombee neema ya kuwa na heshima kwa Kanisa na kutunza miili yetu.Amina.
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R/120
WhatsApp.com
Nyimbo Katoliki
WhatsApp Channel Invite
*KARIBUNI TUSALI SALA YA MALAIKA WA BWANA*
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
*Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu*.💍💍💒🌹💐...🔔⛪
*MALAIKA WA BWANA*🔔⛪
*Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria.*
*Naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.*
*Salamu, Maria,.....*
*Ndimi mtumishi wa Bwana.*
*Nitendewe ulivyonena.*
*Salamu, Maria....*
*Neno wa Mungu akatwaa mwili.*
*Akakaa kwetu.*
*Salamu, Maria....*
*Utuombee, Mzazi mtakatifu wa Mungu.*
*Tujaliwe ahadi za Kristu.*
*Tuombe*
*Tunakuomba, Ee Bwana, utie neema yako mioyon mwetu, ili sisi tuliojua kwa maelezo ya Malaika kwamba Mwanao amejifanya mtu kwa mateso na msalaba wake tufikishwe kwa utukufu wa ufufuko. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu. AMINA..*
*ATUKUZWE (mara tatu)*
*Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu. Kama mwanzo na sasa na siku zote na milele. Amina.*
*Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.*
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R/121
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
*Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu*.💍💍💒🌹💐...🔔⛪
*MALAIKA WA BWANA*🔔⛪
*Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria.*
*Naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.*
*Salamu, Maria,.....*
*Ndimi mtumishi wa Bwana.*
*Nitendewe ulivyonena.*
*Salamu, Maria....*
*Neno wa Mungu akatwaa mwili.*
*Akakaa kwetu.*
*Salamu, Maria....*
*Utuombee, Mzazi mtakatifu wa Mungu.*
*Tujaliwe ahadi za Kristu.*
*Tuombe*
*Tunakuomba, Ee Bwana, utie neema yako mioyon mwetu, ili sisi tuliojua kwa maelezo ya Malaika kwamba Mwanao amejifanya mtu kwa mateso na msalaba wake tufikishwe kwa utukufu wa ufufuko. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu. AMINA..*
*ATUKUZWE (mara tatu)*
*Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu. Kama mwanzo na sasa na siku zote na milele. Amina.*
*Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.*
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R/121
WhatsApp.com
Nyimbo Katoliki
WhatsApp Channel Invite
*MASOMO YA MISA NOVEMBA 10, 2023*
*IJUMAA, JUMA LA 31 LA MWAKA*
KUMBUKUMBU YA MT. LEO MKUU (PAPA NA MWALIMU WA KANISA)
_____
SOMO 1
Rum. 15:14-21
Ndugu zangu, nimehakikishwa mimi mwenyewe kwa habari zenu ya kuwa ninyi nanyi mmejaa wema, mmejazwa elimu yote, tena mwaweza kuonyana. Lakini nawaandikia, kwa ujasiri zaidi katika sehemu za waraka huu, kana kwamba ninawakumbusha,, kwa neema ile niliyopewa na Mungu, ili niwe mhudumu wa Kristo Yesu kati ya watu wa Mataifa, niifanyie Injili ya Mungu kazi ya ukuhani, kusudi Mataifa wawe sadaka yenye kibali, ikiisha kutakaswa na Roho Mtakatifu.
Basi, nina sababu ya kuona fahari katika Kristo Yesu Mbele za Mungu. Maana sitathubutu kutaja neno asilolitenda Kristo kwa kazi yangu, Mataifa wapate kutii, kwa neno au kwa tendo, kwa nguvu za ishara na maajabu, katika nguvu za Roho Mtakatifu; hata ikawa tangu Yerusalemu, na kando yake, mpaka Iliriko nimekwisha kuihubiri Injili ya Kristo kwa utimilifu; kadhalika nikijitahidi kuihubiri Injili, nisihubiri hapo ambapo jina la Kristo limekwisha kutajwa, nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine; bali kama ilivyoandikwa, Wale wasiohubiriwa habari zake wataona, Na wale wasiojasikia watafahamu.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
_____
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 98:1-4 (K) 2
(K) Bwana ameufunua wokovu wake.
Mwimbieni Bwana wimbo mpya,
Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.
Mkono wa kuume wake mwenyewe,
Mkono wake mtakatifu umemtenda wokovu. (K)
Bwana ameufunua wokovu wake,
Machoni pa mataifa ameidhihirisha haki yake.
Amezikumbuka rehema zake,
Na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli. (K)
Miisho yote ya dunia imeuona,
Wokovu wa Mungu wetu.
Mshangilieni Bwana, nchi yote,
Inueni sauti, imbeni kwa furaha, imbeni zaburi. (K)
_____
SHANGILIO
Yn. 14:5
Aleluya, aleluya,
Bwana anasema, mimi ndimi njia, na ukweli, na uzima, mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Aleluya.
_____
INJILI
Lk. 16:1-8
Yesu aliwaambia wanafunzi wake: Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyekuwa na wakili wake; huyu alishitakiwa kwake kuwa anatapanya mali zake. Akamwita, akamwambia, Ni habari gani hii ninayosikia juu yako? Toa hesabu ya uwakili wako, kwa kuwa huwezi kuwa wakili tena. Yule wakili akasema moyoni mwake, Nifanyeje? Maana, bwana wangu ananiondolea uwakili. Kulima, siwezi; kuomba, naona haya. Najua nitakalotenda, ili nitakapotolewa katika uwakili, wanikaribishe nyumbani mwao.
Akawaita wadeni wa bwana wake, kila mmoja; akamwambia wa kwanza, Wawiwani na bwana wangu? Akasema, Vipimo mia vya mafuta. Akamwambia, Twaa hati yako, keti upesi, andika hamsini. Kisha akamwambia mwingine, Na wewe wawiwani? Akasema, Makanda mia ya ngano. Akamwambia, Twaa hati yako, andika themanini.
Yule bwana akamsifu wakili dhalimu kwa vile alivyotenda kwa busara; kwa kuwa wana wa ulimwengu huu katika kizazi chao wenyewe huwa na busara kuliko wana wa nuru.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristu.
_____
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R/125
*IJUMAA, JUMA LA 31 LA MWAKA*
KUMBUKUMBU YA MT. LEO MKUU (PAPA NA MWALIMU WA KANISA)
_____
SOMO 1
Rum. 15:14-21
Ndugu zangu, nimehakikishwa mimi mwenyewe kwa habari zenu ya kuwa ninyi nanyi mmejaa wema, mmejazwa elimu yote, tena mwaweza kuonyana. Lakini nawaandikia, kwa ujasiri zaidi katika sehemu za waraka huu, kana kwamba ninawakumbusha,, kwa neema ile niliyopewa na Mungu, ili niwe mhudumu wa Kristo Yesu kati ya watu wa Mataifa, niifanyie Injili ya Mungu kazi ya ukuhani, kusudi Mataifa wawe sadaka yenye kibali, ikiisha kutakaswa na Roho Mtakatifu.
Basi, nina sababu ya kuona fahari katika Kristo Yesu Mbele za Mungu. Maana sitathubutu kutaja neno asilolitenda Kristo kwa kazi yangu, Mataifa wapate kutii, kwa neno au kwa tendo, kwa nguvu za ishara na maajabu, katika nguvu za Roho Mtakatifu; hata ikawa tangu Yerusalemu, na kando yake, mpaka Iliriko nimekwisha kuihubiri Injili ya Kristo kwa utimilifu; kadhalika nikijitahidi kuihubiri Injili, nisihubiri hapo ambapo jina la Kristo limekwisha kutajwa, nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine; bali kama ilivyoandikwa, Wale wasiohubiriwa habari zake wataona, Na wale wasiojasikia watafahamu.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
_____
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 98:1-4 (K) 2
(K) Bwana ameufunua wokovu wake.
Mwimbieni Bwana wimbo mpya,
Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.
Mkono wa kuume wake mwenyewe,
Mkono wake mtakatifu umemtenda wokovu. (K)
Bwana ameufunua wokovu wake,
Machoni pa mataifa ameidhihirisha haki yake.
Amezikumbuka rehema zake,
Na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli. (K)
Miisho yote ya dunia imeuona,
Wokovu wa Mungu wetu.
Mshangilieni Bwana, nchi yote,
Inueni sauti, imbeni kwa furaha, imbeni zaburi. (K)
_____
SHANGILIO
Yn. 14:5
Aleluya, aleluya,
Bwana anasema, mimi ndimi njia, na ukweli, na uzima, mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Aleluya.
_____
INJILI
Lk. 16:1-8
Yesu aliwaambia wanafunzi wake: Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyekuwa na wakili wake; huyu alishitakiwa kwake kuwa anatapanya mali zake. Akamwita, akamwambia, Ni habari gani hii ninayosikia juu yako? Toa hesabu ya uwakili wako, kwa kuwa huwezi kuwa wakili tena. Yule wakili akasema moyoni mwake, Nifanyeje? Maana, bwana wangu ananiondolea uwakili. Kulima, siwezi; kuomba, naona haya. Najua nitakalotenda, ili nitakapotolewa katika uwakili, wanikaribishe nyumbani mwao.
Akawaita wadeni wa bwana wake, kila mmoja; akamwambia wa kwanza, Wawiwani na bwana wangu? Akasema, Vipimo mia vya mafuta. Akamwambia, Twaa hati yako, keti upesi, andika hamsini. Kisha akamwambia mwingine, Na wewe wawiwani? Akasema, Makanda mia ya ngano. Akamwambia, Twaa hati yako, andika themanini.
Yule bwana akamsifu wakili dhalimu kwa vile alivyotenda kwa busara; kwa kuwa wana wa ulimwengu huu katika kizazi chao wenyewe huwa na busara kuliko wana wa nuru.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristu.
_____
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R/125
WhatsApp.com
Nyimbo Katoliki
WhatsApp Channel Invite
MASOMO YA MISA NOVEMBA 15, 2023
JUMATANO, JUMA LA 32 LA MWAKA
SOMO 1
Hek. 6:1-11
Enyi wafalme, sikilizeni; enyi waamuzi wa miisho ya dunia jifunzeni; sikieni ninyi mtawalao watu wengi, na kujisifia umati wa mataifa. Kwa maana mlipewa falme zenu na Bwana, na milki zenu na Aliye juu, ambaye atazichunguza kazi zenu, na kuyahojihoji mashauri yenu.
Kwa sababu, kisha kuwa wakuu wa ufalme wake, hamhukumu kwa adili, wala kuishika torati, wala kulifuata shauri la Mungu. Yeye atawajia ghafula kwa kitisho, madhali hukumu bila huruma huwaangukia wenye cheo; mradi mtu mnyonge aweza kusamehewa katika rehema, bali wakuu watadumhushiwa hasa. Kwa kuwa Bwana, Mfalme wa wote, hatajizuia kwa ajili ya mtu yeyote, wala hajali ukuu, kwa sababu ndiye Yeye aliyewafanya wadogo na wakuu pia. Naye huwazingatia watu wote pasipo upendeleo, walakini uchunguzi ulio halisi huwajilia wenye uwezo.
Kwa hiyo, enyi wafalme, nawaambia ninyi maneno yangu, ili mjifunze hekima, msije mkapotea njiani. Maana wale waliotunza kwa utakatifu mambo yale yaliyo matakatifu watahesabiwa kuwa watakatifu wenyewe; nao wale waliofundishwa hayo wataona neno la kujitetea. Basi fanyeni shauku ya maneno yangu; yatafuteni, na kwa malezi yake mtapata adabu.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 82:3-4,6-7 (K) 8
(K) Ee Mungu, usimame, uihukumu nchi.
Mfanyieni hukumu maskini na yatima;
Mtendeeni haki aliyeonewa na fukara;
Mwokoeni maskini na mhitaji;
Mwopoeni mikoni mwa wadhalimu. (K)
Mimi nimesema, ndinyi miungu,
Na wana wa Aliye juu, nyote pia.
Lakini mtakufa kama wanadamu,
Mtaanguka kama mmoja wa wakuu. (K)
SHANGILIO
Zab. 119:34
Aleluya, aleluya,
Unifahamishe nami nitaishika sheria yako, nitaitii kwa moyo wangu wote.
Aleluya.
INJILI
Lk. 17:11-19
Ikawa walipokuwa njiani kwenda Yerusalemu, Yesu alikuwa akipita katikati ya Samaria na Galilaya. Na alipoingia katika kijiji kimoja, alikutana na watu kumi wenye ukoma; wakasimama mbali, wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu! Alipowaona aliwaambia, Enendeni, mkajioneshe kwa makuhani. Ikawa walipokuwa wakienda walitakasika.
Na mmoja wao alipoona kwamba amepona, alirudi, huku akimtukuza Mungu kwa sauti kuu; akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria. Yesu akajibu, akanena, Hawakutakaswa wote kumi? Wale kenda wa wapi? Je! Hawakuonekana waliorudi kumpa Mungu utukufu ila mgeni huyu? Akamwambia, Inuka, enenda zako, Imani yako imekuokoa.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
JUMATANO, JUMA LA 32 LA MWAKA
SOMO 1
Hek. 6:1-11
Enyi wafalme, sikilizeni; enyi waamuzi wa miisho ya dunia jifunzeni; sikieni ninyi mtawalao watu wengi, na kujisifia umati wa mataifa. Kwa maana mlipewa falme zenu na Bwana, na milki zenu na Aliye juu, ambaye atazichunguza kazi zenu, na kuyahojihoji mashauri yenu.
Kwa sababu, kisha kuwa wakuu wa ufalme wake, hamhukumu kwa adili, wala kuishika torati, wala kulifuata shauri la Mungu. Yeye atawajia ghafula kwa kitisho, madhali hukumu bila huruma huwaangukia wenye cheo; mradi mtu mnyonge aweza kusamehewa katika rehema, bali wakuu watadumhushiwa hasa. Kwa kuwa Bwana, Mfalme wa wote, hatajizuia kwa ajili ya mtu yeyote, wala hajali ukuu, kwa sababu ndiye Yeye aliyewafanya wadogo na wakuu pia. Naye huwazingatia watu wote pasipo upendeleo, walakini uchunguzi ulio halisi huwajilia wenye uwezo.
Kwa hiyo, enyi wafalme, nawaambia ninyi maneno yangu, ili mjifunze hekima, msije mkapotea njiani. Maana wale waliotunza kwa utakatifu mambo yale yaliyo matakatifu watahesabiwa kuwa watakatifu wenyewe; nao wale waliofundishwa hayo wataona neno la kujitetea. Basi fanyeni shauku ya maneno yangu; yatafuteni, na kwa malezi yake mtapata adabu.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 82:3-4,6-7 (K) 8
(K) Ee Mungu, usimame, uihukumu nchi.
Mfanyieni hukumu maskini na yatima;
Mtendeeni haki aliyeonewa na fukara;
Mwokoeni maskini na mhitaji;
Mwopoeni mikoni mwa wadhalimu. (K)
Mimi nimesema, ndinyi miungu,
Na wana wa Aliye juu, nyote pia.
Lakini mtakufa kama wanadamu,
Mtaanguka kama mmoja wa wakuu. (K)
SHANGILIO
Zab. 119:34
Aleluya, aleluya,
Unifahamishe nami nitaishika sheria yako, nitaitii kwa moyo wangu wote.
Aleluya.
INJILI
Lk. 17:11-19
Ikawa walipokuwa njiani kwenda Yerusalemu, Yesu alikuwa akipita katikati ya Samaria na Galilaya. Na alipoingia katika kijiji kimoja, alikutana na watu kumi wenye ukoma; wakasimama mbali, wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu! Alipowaona aliwaambia, Enendeni, mkajioneshe kwa makuhani. Ikawa walipokuwa wakienda walitakasika.
Na mmoja wao alipoona kwamba amepona, alirudi, huku akimtukuza Mungu kwa sauti kuu; akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria. Yesu akajibu, akanena, Hawakutakaswa wote kumi? Wale kenda wa wapi? Je! Hawakuonekana waliorudi kumpa Mungu utukufu ila mgeni huyu? Akamwambia, Inuka, enenda zako, Imani yako imekuokoa.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
WhatsApp.com
Nyimbo Katoliki | WhatsApp Channel
Nyimbo Katoliki WhatsApp Channel. Karibuni tupate nyimbo mpya za kikatoliki nyimbo nyingine zinapatikana pia katika tovuti yetu katika link hapa chini
https://nyimbokatolik.blogspot.com/?m=1. 79 followers
https://nyimbokatolik.blogspot.com/?m=1. 79 followers
MASOMO YA MISA NOVEMBA 17, 2023
IJUMAA, JUMA LA 32 LA MWAKA
Kumbukumbu ya Mt. Elizabeth wa Hungaria, Mtawa
SOMO 1
Hek. 13:1-9
Bila shaka wanadamu wote kwa asili ni ubatili, ambao hawana akili za kumtambua Mungu; tena hawakupata uwezo wa kumjua Yeye aliopo kwa kuvitazama viumbe vizuri vinavyoonekana, wala kwa kuyaangalia yaliyofanywa hawakufahamu yule Fundi aliyeyafanya. Walakini moto, ama upepo, ama hewa nyepesi, ama mzunguko wa nyota, ama mafuriko ya maji, ama mianga ya mbinguni, walidhania kuwa ni miungu inayoutawala ulimwengu!
Huenda ilikuwa kwa kupendezwa na uzuri wake walivyodhania viumbe hivyo kuwa ni miungu, basin a wajue kadiri gani Bwana, Mfalme wao, avipatavyo; kwa maana Yeye aliye asili ya uzuri ndiye aliyeviumba.
Lakini kama ilikuwa kwa kuzistaajabia nguvu zake na maongozi yake, na wafahamu kwa kuviangalia kadiri gani Yeye aliyeviumba anayo nguvu zaidi; maana kwa jinsi uzuri hata wa viumbe vilivyoumbwa ulivyo mkuu, kwa kadiri iyo hiyo mwanadamu huyatunga mawazo yake juu ya Muumba.
Walakini watu hao hawana hatia nyingi. Madhali yawezekana kwamba hao wamekosea tu, pindi wanapomtafuta Mungu, na kutamani kumwona; kwa sababu huishi katikati ya viumbe vyake, huvichunguza kwa bidi, na mwisho hujitoa kwa maono yao, mradi vitu vyenyewe wanavyovitazama ni vizuri kweli kweli.
Walakini tena watu hao hawana udhuru. Kwa maana wakiwa walikuwa na uwezo wa kufahamu kadiri hiyo, hata kuweza kuchungulia taratibu ya viumbe, imekuwaje ya kwamba hawakudiriki upesi kutambua Mfalme Mkuu wa viumbe hivyo vyake?
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 19:1-4
(K) Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu,
Na anga laitangaza kazi ya mikono yake.
Mchana husemezana na mchana,
Usiku hutolea usiku maaarifa.
(K) Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu.
Hakuna lugha wala maneno,
Sauti yao haisikilikani.
Sauti yao imeenea duniani mwote,
Na maneno yao hata miisho ya ulimwengu.
(K) Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu.
SHANGILIO
Zab. 111:7,8
Aleluya, aleluya,
Maagizo yako yote, Ee Bwana, ni amini,
yamethibitika milele na milele.
Aleluya.
INJILI
Lk. 17:26-37
Yesu aliwaambia wanafunzi wake: Na kama ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa katika siku zake Mwana wa Adamu. Walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakioa na kuolewa, hata siku ile Nuhu aliyoingia katika safina, gharika ikashuka ikawaangamiza wote. Na kadhalika, kama ilivyokuwa katika siku za Lutu, walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakinunua na kuuza, wakipanda na kujenga; lakini siku ile Lutu aliyotoka Sodoma kulikunya moto na kibiriti kutoka mbinguni vikawaangamiza wote. Hivyo ndivyo itakavyokuwa siku ile atakayofunuliwa Mwana wa Adamu.
Katika siku ile, aliye juu ya dari, na vyombo vyake vimo ndani ya nyumba, asishuke ili kuvitwaa; na kadhalika, aliye shambani asirejee nyuma. Mkumbukeni mkewe Lutu. Mtu yeyote atakaye kuiponya nafsi yake, ataiangamiza; na yeyote atakayeiangamiza ataiponya. Nawaambia, usiku huo watu wawili watakuwa katika kitanda kimoja; mmoja atatwaliwa, mmoja ataachwa. Wanawake wawili watakuwa wakisaga pamoja; mmoja atatwaliwa, mmoja ataachwa.
Wakajibu, wakamwuliza, Wapi, Bwana? Akawaambia. Ulipo mzoga, ndipo watakapokutanika tai.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristu.
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
IJUMAA, JUMA LA 32 LA MWAKA
Kumbukumbu ya Mt. Elizabeth wa Hungaria, Mtawa
SOMO 1
Hek. 13:1-9
Bila shaka wanadamu wote kwa asili ni ubatili, ambao hawana akili za kumtambua Mungu; tena hawakupata uwezo wa kumjua Yeye aliopo kwa kuvitazama viumbe vizuri vinavyoonekana, wala kwa kuyaangalia yaliyofanywa hawakufahamu yule Fundi aliyeyafanya. Walakini moto, ama upepo, ama hewa nyepesi, ama mzunguko wa nyota, ama mafuriko ya maji, ama mianga ya mbinguni, walidhania kuwa ni miungu inayoutawala ulimwengu!
Huenda ilikuwa kwa kupendezwa na uzuri wake walivyodhania viumbe hivyo kuwa ni miungu, basin a wajue kadiri gani Bwana, Mfalme wao, avipatavyo; kwa maana Yeye aliye asili ya uzuri ndiye aliyeviumba.
Lakini kama ilikuwa kwa kuzistaajabia nguvu zake na maongozi yake, na wafahamu kwa kuviangalia kadiri gani Yeye aliyeviumba anayo nguvu zaidi; maana kwa jinsi uzuri hata wa viumbe vilivyoumbwa ulivyo mkuu, kwa kadiri iyo hiyo mwanadamu huyatunga mawazo yake juu ya Muumba.
Walakini watu hao hawana hatia nyingi. Madhali yawezekana kwamba hao wamekosea tu, pindi wanapomtafuta Mungu, na kutamani kumwona; kwa sababu huishi katikati ya viumbe vyake, huvichunguza kwa bidi, na mwisho hujitoa kwa maono yao, mradi vitu vyenyewe wanavyovitazama ni vizuri kweli kweli.
Walakini tena watu hao hawana udhuru. Kwa maana wakiwa walikuwa na uwezo wa kufahamu kadiri hiyo, hata kuweza kuchungulia taratibu ya viumbe, imekuwaje ya kwamba hawakudiriki upesi kutambua Mfalme Mkuu wa viumbe hivyo vyake?
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 19:1-4
(K) Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu,
Na anga laitangaza kazi ya mikono yake.
Mchana husemezana na mchana,
Usiku hutolea usiku maaarifa.
(K) Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu.
Hakuna lugha wala maneno,
Sauti yao haisikilikani.
Sauti yao imeenea duniani mwote,
Na maneno yao hata miisho ya ulimwengu.
(K) Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu.
SHANGILIO
Zab. 111:7,8
Aleluya, aleluya,
Maagizo yako yote, Ee Bwana, ni amini,
yamethibitika milele na milele.
Aleluya.
INJILI
Lk. 17:26-37
Yesu aliwaambia wanafunzi wake: Na kama ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa katika siku zake Mwana wa Adamu. Walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakioa na kuolewa, hata siku ile Nuhu aliyoingia katika safina, gharika ikashuka ikawaangamiza wote. Na kadhalika, kama ilivyokuwa katika siku za Lutu, walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakinunua na kuuza, wakipanda na kujenga; lakini siku ile Lutu aliyotoka Sodoma kulikunya moto na kibiriti kutoka mbinguni vikawaangamiza wote. Hivyo ndivyo itakavyokuwa siku ile atakayofunuliwa Mwana wa Adamu.
Katika siku ile, aliye juu ya dari, na vyombo vyake vimo ndani ya nyumba, asishuke ili kuvitwaa; na kadhalika, aliye shambani asirejee nyuma. Mkumbukeni mkewe Lutu. Mtu yeyote atakaye kuiponya nafsi yake, ataiangamiza; na yeyote atakayeiangamiza ataiponya. Nawaambia, usiku huo watu wawili watakuwa katika kitanda kimoja; mmoja atatwaliwa, mmoja ataachwa. Wanawake wawili watakuwa wakisaga pamoja; mmoja atatwaliwa, mmoja ataachwa.
Wakajibu, wakamwuliza, Wapi, Bwana? Akawaambia. Ulipo mzoga, ndipo watakapokutanika tai.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristu.
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
WhatsApp.com
Nyimbo Katoliki | WhatsApp Channel
Nyimbo Katoliki WhatsApp Channel. Karibuni tupate nyimbo mpya za kikatoliki nyimbo nyingine zinapatikana pia katika tovuti yetu katika link hapa chini
https://nyimbokatolik.blogspot.com/?m=1. 79 followers
https://nyimbokatolik.blogspot.com/?m=1. 79 followers
BREAKING NEWS || NECTA MATOKEO YA MTIHANI DARASA LA SABA 2023 | https://nyimbokatolik.blogspot.com/2023/11/breaking-news-matokeo-ya-mtihani-darasa.html
⭕ sharing is caring
⭕ sharing is caring
NYIMBO KATOLIKI
BREAKING NEWS || NECTA MATOKEO YA MTIHANI DARASA LA SABA 2023
Search catholic songs here
*MASOMO YA MISA NOVEMBA 24, 2023*
*IJUMAA, JUMA LA 33 LA MWAKA*
*KUMBUKUMBU YA WAT. ANDREA DUNG-LAC NA WENZAKE*
SOMO 1
1 Mak. 4:36-37,52-59
Yuda na ndugu zake walisema, Sasa adui zetu wamevunjwa nguvu, basi tupande tukapatakase mahali patakatifu na kupatabaruku. Jeshi lote likakusanyika likapanda juu ya mlima Sayuni.
Wakaondoka mapema siku ya ishirini na tano ya mwezi wa tisa, yaani Kislevu, mwaka mia arobaini na nane, wakatoa dhabihu, kama ilivyoamriwa katika sheria, juu ya madhabahu mpya ya sadaka za kuteketezwa waliyokuwa wameifanya. Wakati ule ule na siku ile ile iliyotiwa unajisi na mataifa, siku ile ile iliwekwa wakfu tena kwa nyimbo na vinubi na vinanda na matari. Watu wote wakaanguka kifudifudi wakipaza sifa kwa mbingu, kwake aliyewapa ufanisi. Wakaiadhimisha sikukuu ya kuitabaruku madhabahu muda wa siku nane, wakileta sadaka za kuteketezwa kwa furaha na kutoa dhabihu ya wokovu na shukrani. Pia, waliupanda ukuta wa mbele wa hekalu kwa taji za dhahabu na vigao; wakaweka wakfu malango na vyumba vya makuhani na kuvitia milango. Kulikuwa na furaha kubwa kwa watu, na aibu iliyoletwa na mataifa iliondolewa.
Yuda na ndugu zake, na jamii yote ya Israeli, walikata shauri ya kuwa siku za kuitabaruku madhabahu ziadhimishwe kwa furaha na shangwe kila mwaka kwa wakati wake, muda wa siku nane tangu ishirini na tano ya mwezi Kislevu.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Nya. 29:10-12 (K) 13
(K) Tulisifu jina lako tukufu, Ee Bwana.
Uhimidiwe, Ee Bwana,
Mungu wa Israeli baba yetu,
Milele na milele. (K)
Ee Bwana, ukuu ni wako,
Na uweza, na utukufu, na kushinda, na enzi.
Utajiri na heshima hutoka kwako. (K)
Wewe watawala juu ya vyote,
Na mkononi mwako mna uweza na nguvu,
Tena mkononi mwako mna kuwatukuza,
Na kuwawezesha wote. (K)
SHANGILIO
Aleluya, aleluya,
Bwana anasema: Siwaiti tena watumwa, lakini ninyi nimewaita rafiki, kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu nimewaarifu.
Aleluya.
INJILI
Lk. 19:45-48
Yesu aliingia hekaluni, akaanza kuwatoa wale waliokuwa wakifanya biashara, akiwaambia, Imeandikwa, Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala; lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.
Naye akawa akifundisha kila siku hekaluni. Lakini wakuu wa makuhani, na waandishi, na wakuu wa watu walikuwa wakitafuta njia ya kumwangamiza; wasione la kutenda, kwa kuwa watu wote walikuwa wakiandamana naye, wakimsikiliza.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
*IJUMAA, JUMA LA 33 LA MWAKA*
*KUMBUKUMBU YA WAT. ANDREA DUNG-LAC NA WENZAKE*
SOMO 1
1 Mak. 4:36-37,52-59
Yuda na ndugu zake walisema, Sasa adui zetu wamevunjwa nguvu, basi tupande tukapatakase mahali patakatifu na kupatabaruku. Jeshi lote likakusanyika likapanda juu ya mlima Sayuni.
Wakaondoka mapema siku ya ishirini na tano ya mwezi wa tisa, yaani Kislevu, mwaka mia arobaini na nane, wakatoa dhabihu, kama ilivyoamriwa katika sheria, juu ya madhabahu mpya ya sadaka za kuteketezwa waliyokuwa wameifanya. Wakati ule ule na siku ile ile iliyotiwa unajisi na mataifa, siku ile ile iliwekwa wakfu tena kwa nyimbo na vinubi na vinanda na matari. Watu wote wakaanguka kifudifudi wakipaza sifa kwa mbingu, kwake aliyewapa ufanisi. Wakaiadhimisha sikukuu ya kuitabaruku madhabahu muda wa siku nane, wakileta sadaka za kuteketezwa kwa furaha na kutoa dhabihu ya wokovu na shukrani. Pia, waliupanda ukuta wa mbele wa hekalu kwa taji za dhahabu na vigao; wakaweka wakfu malango na vyumba vya makuhani na kuvitia milango. Kulikuwa na furaha kubwa kwa watu, na aibu iliyoletwa na mataifa iliondolewa.
Yuda na ndugu zake, na jamii yote ya Israeli, walikata shauri ya kuwa siku za kuitabaruku madhabahu ziadhimishwe kwa furaha na shangwe kila mwaka kwa wakati wake, muda wa siku nane tangu ishirini na tano ya mwezi Kislevu.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Nya. 29:10-12 (K) 13
(K) Tulisifu jina lako tukufu, Ee Bwana.
Uhimidiwe, Ee Bwana,
Mungu wa Israeli baba yetu,
Milele na milele. (K)
Ee Bwana, ukuu ni wako,
Na uweza, na utukufu, na kushinda, na enzi.
Utajiri na heshima hutoka kwako. (K)
Wewe watawala juu ya vyote,
Na mkononi mwako mna uweza na nguvu,
Tena mkononi mwako mna kuwatukuza,
Na kuwawezesha wote. (K)
SHANGILIO
Aleluya, aleluya,
Bwana anasema: Siwaiti tena watumwa, lakini ninyi nimewaita rafiki, kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu nimewaarifu.
Aleluya.
INJILI
Lk. 19:45-48
Yesu aliingia hekaluni, akaanza kuwatoa wale waliokuwa wakifanya biashara, akiwaambia, Imeandikwa, Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala; lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.
Naye akawa akifundisha kila siku hekaluni. Lakini wakuu wa makuhani, na waandishi, na wakuu wa watu walikuwa wakitafuta njia ya kumwangamiza; wasione la kutenda, kwa kuwa watu wote walikuwa wakiandamana naye, wakimsikiliza.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
WhatsApp.com
Nyimbo Katoliki | WhatsApp Channel
Nyimbo Katoliki WhatsApp Channel. Karibuni tupate nyimbo mpya za kikatoliki nyimbo nyingine zinapatikana pia katika tovuti yetu katika link hapa chini
https://nyimbokatolik.blogspot.com/?m=1. 79 followers
https://nyimbokatolik.blogspot.com/?m=1. 79 followers
Yesu Kristo ni mfalme by kwaya kuu ya Mt Secilia | https://nyimbokatolik.blogspot.com/2023/11/yesu-kristo-ni-mfalme-by-kwaya-kuu-ya.html
🔴Jiunge nasi whatsapp nyimbo katoliki hapa👇🏻
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
🔴Jiunge nasi whatsapp nyimbo katoliki hapa👇🏻
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
NYIMBO KATOLIKI
Yesu Kristo ni mfalme by kwaya kuu ya Mt Secilia
Search catholic songs here
Kristo ni Yuleyule by Bakhita na Neema Wilbard | https://nyimbokatolik.blogspot.com/2023/11/kristo-ni-yuleyule-by-bakhita-na-neema_26.html
Jiunge nasi whatsapp nyimbo katoliki hapa👇🏻
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
Jiunge nasi whatsapp nyimbo katoliki hapa👇🏻
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
NYIMBO KATOLIKI
Kristo ni Yuleyule by Bakhita na Neema Wilbard
Search catholic songs here
HESBL || MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO | DIPLOMA | https://nyimbokatolik.blogspot.com/2023/11/hesbl-majina-ya-wanafunzi-waliopata.html
💢 Sharing is caring....
💢 Sharing is caring....
NYIMBO KATOLIKI
HESBL || MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO | DIPLOMA
Search catholic songs here
DESEMBA 5, 2023; JUMANNE: JUMA LA 1 LA MAJILIO
mazengo / 4 hours ago
Mt. Saba, Mkaa Pweke Urujuani
Zaburi: Juma 1
SOMO 1: Isa. 11:1-10
Siku ile likatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake litazaa matunda. Na roho ya Bwana itakaa juu yake, roho ya hekima na ufahamu, roho ya shauri na uweza, roho ya maarifa na ya kumcha Bwana; na furaha yake itakuwa katika kumcha Bwana; wala hatahukumu kwa kuyafuata ayaonayo kwa macho yake, wala hataonya kwa kuyafuata ayasikiayo kwa masikio yake; bali kwa haki atawahukumu maskini, naye atawaonya wanyenyekevu wa dunia kwa adili; naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake, na kwa pumzi ya midomo yake atawaua wabaya. Na haki itakuwa mshipi wa viuno vyake, na uaminifu mshipi wa kujifungia.
Mbwa-mwitu atakaa pamoja na mwana-kondoo, na chui atalala pamoja na mwana-mbuzi; ndama na mwana-simba na kinono watakuwa pamoja, na mtoto mdogo atawaongoza. Ng’ombe na dubu watalisha pamoja; watoto wao watalala pamoja; na simba atakula majani kama ng’ombe. Na mtoto anyonyaye atacheza penye tundu la nyoka, na mtoto aliyeachishwa atatia mkono wake katika pango la fira. Hawatadhuru wala hawataharibu katika mlima wangu wote mtakatifu; maana dunia itajawa na kumjua Bwana, kama vile maji yanavyoifunika bahari.
Na itakuwa katika siku hiyo, shina la Yese lisimamalo kuwa ishara kwa kabila za watu, yeye ndiye ambaye mataifa watamtafuta; na mahali pake pa kupumzika patakuwa na utukufu.
WIMBO WA KATIKATI: Zab 72: 1-2, 7-8, 12-13
Ee Mungu, mpe mfalme hukumu zako,
Na mwana wa mfalme haki yako
Atawaamua watu wako kwa haki,
Na watu wako walioonewa kwa hukumu.
K: Siku zake yeye, mtu mwenye haki atasitawi
na wingi wa amani kwa milele.
Siku zake yeye, mtu mwenye haki atasitawi
Na wingi wa amani hata mwezi utakapokoma.
Na awe na enzi toka bahari hata bahari,
Toka Mto hata miisho ya dunia. (K)
Kwa maana atamwokoa mhitaji aliapo,
Na mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi
Atamhurumia aliye dhaifu na maskini,
Na nafsi za wahitaji ataziokoa. (K)
Jina lake na lidumu milele,
Pindi ling’aapo jua jina lake liwe na wazao;
Mataifa yote na wajibariki katika yeye,
Na kumwita heri. (K)
INJILI: Lk. 10:21-24
Siku ile, Yesu alishangilia kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya umewaficha wenye hekima na akili; umewafunulia watoto wachanga; Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza. Akasema, nimekabidhiwa vyote na Baba yangu, wala hakuna amjuaye Mwana ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.
Akawageukia wanafunzi wake, akasema nao kwa faragha, Heri macho yaonayo mnayoyaona ninyi. Kwa kuwa nawaambia ya kwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuyaona mnayoyaona ninyi wasiyaone; na kuyasikia mnayoyasikia ninyi wasiyasikie.
TAFAKARI:
KILA MTU ANA BAHATI YAKE: Nabii Isaya katika somo la kwanza anazungumzia watu wenye tabia ya kuamua mambo bila haki. Kuna mtu ambaye akisikia jambo bila hata ya kufanya uchunguzi kupata uhakika na kujua hali halisi, unakuta anatoa hukumu. Raisi mstaafu wa Tanzania mheshimiwa Jakaya Kikwete, aliwahi kusema, “Akili ya kuambiwa, changanya na ya kwako.” Alimaanisha kuwa usione tu jambo na kutoa hukumu, tenda haki kwa kuliwaza na kuliamulia wewe binafsi. Yesu katika Injili anawadhihirishia wanafunzi wake kuwa, wana bahati ya pekee kwa yale yaliyofuniliwa kwao. Anawasihi wasifanye mzaha na kuyapuuzilia mbali. Hii kwao ni bahati kweli na ndipo anasema, “Heri macho yaonayo mnayoyaona ninyi.” Hii bahati tuliyo nayo kila mmoja wetu, tusiipuuzilie. Tunaalikwa kujitazama na kujiuliza, tuna bahati gani tumejaliwa katika maisha na tumezitumiaje?
SALA: Baba wa Mbinguni, tunaomba utupe macho maangavu ili tutambue na kuthamini yale unayotujalia katika maisha yetu. Amina.
The post DESEMBA 5, 2023; JUMANNE: JUMA LA 1 LA MAJILIO appeared first on Claretian Publications.
http://nyimbokatolik.blogspot.com/2023/12/desemba-5-2023-jumanne-juma-la-1-la.html
mazengo / 4 hours ago
Mt. Saba, Mkaa Pweke Urujuani
Zaburi: Juma 1
SOMO 1: Isa. 11:1-10
Siku ile likatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake litazaa matunda. Na roho ya Bwana itakaa juu yake, roho ya hekima na ufahamu, roho ya shauri na uweza, roho ya maarifa na ya kumcha Bwana; na furaha yake itakuwa katika kumcha Bwana; wala hatahukumu kwa kuyafuata ayaonayo kwa macho yake, wala hataonya kwa kuyafuata ayasikiayo kwa masikio yake; bali kwa haki atawahukumu maskini, naye atawaonya wanyenyekevu wa dunia kwa adili; naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake, na kwa pumzi ya midomo yake atawaua wabaya. Na haki itakuwa mshipi wa viuno vyake, na uaminifu mshipi wa kujifungia.
Mbwa-mwitu atakaa pamoja na mwana-kondoo, na chui atalala pamoja na mwana-mbuzi; ndama na mwana-simba na kinono watakuwa pamoja, na mtoto mdogo atawaongoza. Ng’ombe na dubu watalisha pamoja; watoto wao watalala pamoja; na simba atakula majani kama ng’ombe. Na mtoto anyonyaye atacheza penye tundu la nyoka, na mtoto aliyeachishwa atatia mkono wake katika pango la fira. Hawatadhuru wala hawataharibu katika mlima wangu wote mtakatifu; maana dunia itajawa na kumjua Bwana, kama vile maji yanavyoifunika bahari.
Na itakuwa katika siku hiyo, shina la Yese lisimamalo kuwa ishara kwa kabila za watu, yeye ndiye ambaye mataifa watamtafuta; na mahali pake pa kupumzika patakuwa na utukufu.
WIMBO WA KATIKATI: Zab 72: 1-2, 7-8, 12-13
Ee Mungu, mpe mfalme hukumu zako,
Na mwana wa mfalme haki yako
Atawaamua watu wako kwa haki,
Na watu wako walioonewa kwa hukumu.
K: Siku zake yeye, mtu mwenye haki atasitawi
na wingi wa amani kwa milele.
Siku zake yeye, mtu mwenye haki atasitawi
Na wingi wa amani hata mwezi utakapokoma.
Na awe na enzi toka bahari hata bahari,
Toka Mto hata miisho ya dunia. (K)
Kwa maana atamwokoa mhitaji aliapo,
Na mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi
Atamhurumia aliye dhaifu na maskini,
Na nafsi za wahitaji ataziokoa. (K)
Jina lake na lidumu milele,
Pindi ling’aapo jua jina lake liwe na wazao;
Mataifa yote na wajibariki katika yeye,
Na kumwita heri. (K)
INJILI: Lk. 10:21-24
Siku ile, Yesu alishangilia kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya umewaficha wenye hekima na akili; umewafunulia watoto wachanga; Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza. Akasema, nimekabidhiwa vyote na Baba yangu, wala hakuna amjuaye Mwana ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.
Akawageukia wanafunzi wake, akasema nao kwa faragha, Heri macho yaonayo mnayoyaona ninyi. Kwa kuwa nawaambia ya kwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuyaona mnayoyaona ninyi wasiyaone; na kuyasikia mnayoyasikia ninyi wasiyasikie.
TAFAKARI:
KILA MTU ANA BAHATI YAKE: Nabii Isaya katika somo la kwanza anazungumzia watu wenye tabia ya kuamua mambo bila haki. Kuna mtu ambaye akisikia jambo bila hata ya kufanya uchunguzi kupata uhakika na kujua hali halisi, unakuta anatoa hukumu. Raisi mstaafu wa Tanzania mheshimiwa Jakaya Kikwete, aliwahi kusema, “Akili ya kuambiwa, changanya na ya kwako.” Alimaanisha kuwa usione tu jambo na kutoa hukumu, tenda haki kwa kuliwaza na kuliamulia wewe binafsi. Yesu katika Injili anawadhihirishia wanafunzi wake kuwa, wana bahati ya pekee kwa yale yaliyofuniliwa kwao. Anawasihi wasifanye mzaha na kuyapuuzilia mbali. Hii kwao ni bahati kweli na ndipo anasema, “Heri macho yaonayo mnayoyaona ninyi.” Hii bahati tuliyo nayo kila mmoja wetu, tusiipuuzilie. Tunaalikwa kujitazama na kujiuliza, tuna bahati gani tumejaliwa katika maisha na tumezitumiaje?
SALA: Baba wa Mbinguni, tunaomba utupe macho maangavu ili tutambue na kuthamini yale unayotujalia katika maisha yetu. Amina.
The post DESEMBA 5, 2023; JUMANNE: JUMA LA 1 LA MAJILIO appeared first on Claretian Publications.
http://nyimbokatolik.blogspot.com/2023/12/desemba-5-2023-jumanne-juma-la-1-la.html
NYIMBO KATOLIKI
MASOMO YA MISA DESEMBA 5, 2023; JUMANNE: JUMA LA 1 LA MAJILIO
Search catholic songs here
MASOMO YA MISA DESEMBA 6, 2023
JUMATANO, JUMA LA 1 LA MAJILIO
SOMO 1
Isa. 25:6-10
Siku ile Bwana wa majeshi atawafanyia mataifa yote karamu ya vitu vinono, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, karamu ya vinono vilivyojaa mafuta, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, iliyochujwa sana. Naye katika mlima huu atauharibu uso wa sitara iliyowekwa juu ya watu wote, na utaji ule uliotandwa juu ya mataifa yote. Amemeza mauti hata milele; na Bwana Mungu atafuta machozi katika nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote; maana Bwana amenena hayo.
Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye Bwana tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.
Kwa maana mkono wa Bwana utatulia katika mlima huu.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 23:1-3,5-6 (K) 6
(K) Nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.
Bwana ndiye mchungaji wangu,
Sitapungukiwa na kitu.
Katika malisho ya majani mabichi hunilaza. (K)
Kando ya maji ya utulivu huniongoza,
Hunihuisha nafsi yangu na kuniongoza.
Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake. (K)
Waandaa meza mbele yangu,
Machoni pa watesi wangu.
Umenipaka mafuta kichwani pangu,
Na kikombe changu kinafurika. (K)
Hakika wema na fadhili zitanifuata,
Siku zote za maisha yangu;
Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele. (K)
SHANGILIO
Aleluya, aleluya,
Tazama Bwana atakuja kuwaokoa watu wake, Heri walio tayari kumlaki.
Aleluya.
INJILI
Mt. 15:29-37
Siku ile: Yesu alifika kando ya bahari ya Galilaya; akapanda mlimani, akaketi huko. Wakamwendea makutano mengi wakimletea viwete, vipofu, mabubu, vilema, na wengine wengi, wakawaweka miguuni pake; akawaponya; hata ule mkutano wakastaajabu, walipowaona mabubu wanasema, vilema wanakuwa wazima, viwete wanakwenda, na vipofu wanaona; wakamtukuza Mungu wa Israeli.
Yesu akawaita wanafunzi wake, akasema, Nawahurumia mkutano, kwa kuwa yapata siku tatu wamekaa pamoja nami, wala hawana kitu cha kula; tena kuwaaga wakifunga sipendi, wasije wakazimia njiani. Wanafunzi wake wakamwambia, Tupate wapi mikate mingi hapa nyikani, hata kushibisha mkutano mkuu namna hii? Yesu akawaambia, Mnayo mikate mingapi? Wakasema, Saba, na visamaki vichache.
Akawaagiza mkutano waketi chini; akaitwaa ile mikate saba na vile visamaki, akashukuru akavimega, akawapa wanafunzi wake, nao wanafunzi wakawapa makutano. Wakala wote wakashiba; wakayaokota masazo ya vipande vya mikate, makanda saba, yamejaa.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.
http://nyimbokatolik.blogspot.com/2023/12/masomo-ya-misa-desemba-6-2023-jumatano.html
JUMATANO, JUMA LA 1 LA MAJILIO
SOMO 1
Isa. 25:6-10
Siku ile Bwana wa majeshi atawafanyia mataifa yote karamu ya vitu vinono, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, karamu ya vinono vilivyojaa mafuta, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, iliyochujwa sana. Naye katika mlima huu atauharibu uso wa sitara iliyowekwa juu ya watu wote, na utaji ule uliotandwa juu ya mataifa yote. Amemeza mauti hata milele; na Bwana Mungu atafuta machozi katika nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote; maana Bwana amenena hayo.
Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye Bwana tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.
Kwa maana mkono wa Bwana utatulia katika mlima huu.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 23:1-3,5-6 (K) 6
(K) Nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.
Bwana ndiye mchungaji wangu,
Sitapungukiwa na kitu.
Katika malisho ya majani mabichi hunilaza. (K)
Kando ya maji ya utulivu huniongoza,
Hunihuisha nafsi yangu na kuniongoza.
Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake. (K)
Waandaa meza mbele yangu,
Machoni pa watesi wangu.
Umenipaka mafuta kichwani pangu,
Na kikombe changu kinafurika. (K)
Hakika wema na fadhili zitanifuata,
Siku zote za maisha yangu;
Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele. (K)
SHANGILIO
Aleluya, aleluya,
Tazama Bwana atakuja kuwaokoa watu wake, Heri walio tayari kumlaki.
Aleluya.
INJILI
Mt. 15:29-37
Siku ile: Yesu alifika kando ya bahari ya Galilaya; akapanda mlimani, akaketi huko. Wakamwendea makutano mengi wakimletea viwete, vipofu, mabubu, vilema, na wengine wengi, wakawaweka miguuni pake; akawaponya; hata ule mkutano wakastaajabu, walipowaona mabubu wanasema, vilema wanakuwa wazima, viwete wanakwenda, na vipofu wanaona; wakamtukuza Mungu wa Israeli.
Yesu akawaita wanafunzi wake, akasema, Nawahurumia mkutano, kwa kuwa yapata siku tatu wamekaa pamoja nami, wala hawana kitu cha kula; tena kuwaaga wakifunga sipendi, wasije wakazimia njiani. Wanafunzi wake wakamwambia, Tupate wapi mikate mingi hapa nyikani, hata kushibisha mkutano mkuu namna hii? Yesu akawaambia, Mnayo mikate mingapi? Wakasema, Saba, na visamaki vichache.
Akawaagiza mkutano waketi chini; akaitwaa ile mikate saba na vile visamaki, akashukuru akavimega, akawapa wanafunzi wake, nao wanafunzi wakawapa makutano. Wakala wote wakashiba; wakayaokota masazo ya vipande vya mikate, makanda saba, yamejaa.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.
http://nyimbokatolik.blogspot.com/2023/12/masomo-ya-misa-desemba-6-2023-jumatano.html
NYIMBO KATOLIKI
MASOMO YA MISA DESEMBA 6, 2023 JUMATANO, JUMA LA 1 LA MAJILIO
Search catholic songs here
Kama wewe ni mpenzi wa soccer, tumekusogezea tovuti safi ya kuweza kutazama mechi zote popote ulipo ukiwa na smartphone pekee, ni bure kabisa
CC SmartArts
Anza na hii ya Man U👇🏻 https://channelsstore.blogspot.com/2023/12/eleven-sports-1.html
CC SmartArts
Anza na hii ya Man U👇🏻 https://channelsstore.blogspot.com/2023/12/eleven-sports-1.html
Channels
Eleven sports 1
Iframe with Styled Fullscreen Button Enter Fullscreen
⚽ TODAY'S MATCHES FIXTURES & LIVESTREAMS
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches
CC SmartArts
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches
CC SmartArts
CHANNELS STORE
⚽ TODAY'S MATCHES FIXTURES & LIVESTREAMS
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches
CC SmartArts
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches
CC SmartArts
CHANNELS STORE
⚽ TODAY'S MATCHES FIXTURES & LIVESTREAMS
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches
CC SmartArts
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches
CC SmartArts
CHANNELS STORE
🔥🔥Watch Live Football, Movies, News and Music on your mobile phone for free.
⚽️ Watch all international League matches on our *CHANNELS STORE*
Click here to watch live👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/?m=1
⚽️ Watch all international League matches on our *CHANNELS STORE*
Click here to watch live👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/?m=1
CHANNELS STORE