*MASOMO YA MISA NOVEMBA 24, 2023*
*IJUMAA, JUMA LA 33 LA MWAKA*
*KUMBUKUMBU YA WAT. ANDREA DUNG-LAC NA WENZAKE*
SOMO 1
1 Mak. 4:36-37,52-59
Yuda na ndugu zake walisema, Sasa adui zetu wamevunjwa nguvu, basi tupande tukapatakase mahali patakatifu na kupatabaruku. Jeshi lote likakusanyika likapanda juu ya mlima Sayuni.
Wakaondoka mapema siku ya ishirini na tano ya mwezi wa tisa, yaani Kislevu, mwaka mia arobaini na nane, wakatoa dhabihu, kama ilivyoamriwa katika sheria, juu ya madhabahu mpya ya sadaka za kuteketezwa waliyokuwa wameifanya. Wakati ule ule na siku ile ile iliyotiwa unajisi na mataifa, siku ile ile iliwekwa wakfu tena kwa nyimbo na vinubi na vinanda na matari. Watu wote wakaanguka kifudifudi wakipaza sifa kwa mbingu, kwake aliyewapa ufanisi. Wakaiadhimisha sikukuu ya kuitabaruku madhabahu muda wa siku nane, wakileta sadaka za kuteketezwa kwa furaha na kutoa dhabihu ya wokovu na shukrani. Pia, waliupanda ukuta wa mbele wa hekalu kwa taji za dhahabu na vigao; wakaweka wakfu malango na vyumba vya makuhani na kuvitia milango. Kulikuwa na furaha kubwa kwa watu, na aibu iliyoletwa na mataifa iliondolewa.
Yuda na ndugu zake, na jamii yote ya Israeli, walikata shauri ya kuwa siku za kuitabaruku madhabahu ziadhimishwe kwa furaha na shangwe kila mwaka kwa wakati wake, muda wa siku nane tangu ishirini na tano ya mwezi Kislevu.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Nya. 29:10-12 (K) 13
(K) Tulisifu jina lako tukufu, Ee Bwana.
Uhimidiwe, Ee Bwana,
Mungu wa Israeli baba yetu,
Milele na milele. (K)
Ee Bwana, ukuu ni wako,
Na uweza, na utukufu, na kushinda, na enzi.
Utajiri na heshima hutoka kwako. (K)
Wewe watawala juu ya vyote,
Na mkononi mwako mna uweza na nguvu,
Tena mkononi mwako mna kuwatukuza,
Na kuwawezesha wote. (K)
SHANGILIO
Aleluya, aleluya,
Bwana anasema: Siwaiti tena watumwa, lakini ninyi nimewaita rafiki, kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu nimewaarifu.
Aleluya.
INJILI
Lk. 19:45-48
Yesu aliingia hekaluni, akaanza kuwatoa wale waliokuwa wakifanya biashara, akiwaambia, Imeandikwa, Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala; lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.
Naye akawa akifundisha kila siku hekaluni. Lakini wakuu wa makuhani, na waandishi, na wakuu wa watu walikuwa wakitafuta njia ya kumwangamiza; wasione la kutenda, kwa kuwa watu wote walikuwa wakiandamana naye, wakimsikiliza.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
*IJUMAA, JUMA LA 33 LA MWAKA*
*KUMBUKUMBU YA WAT. ANDREA DUNG-LAC NA WENZAKE*
SOMO 1
1 Mak. 4:36-37,52-59
Yuda na ndugu zake walisema, Sasa adui zetu wamevunjwa nguvu, basi tupande tukapatakase mahali patakatifu na kupatabaruku. Jeshi lote likakusanyika likapanda juu ya mlima Sayuni.
Wakaondoka mapema siku ya ishirini na tano ya mwezi wa tisa, yaani Kislevu, mwaka mia arobaini na nane, wakatoa dhabihu, kama ilivyoamriwa katika sheria, juu ya madhabahu mpya ya sadaka za kuteketezwa waliyokuwa wameifanya. Wakati ule ule na siku ile ile iliyotiwa unajisi na mataifa, siku ile ile iliwekwa wakfu tena kwa nyimbo na vinubi na vinanda na matari. Watu wote wakaanguka kifudifudi wakipaza sifa kwa mbingu, kwake aliyewapa ufanisi. Wakaiadhimisha sikukuu ya kuitabaruku madhabahu muda wa siku nane, wakileta sadaka za kuteketezwa kwa furaha na kutoa dhabihu ya wokovu na shukrani. Pia, waliupanda ukuta wa mbele wa hekalu kwa taji za dhahabu na vigao; wakaweka wakfu malango na vyumba vya makuhani na kuvitia milango. Kulikuwa na furaha kubwa kwa watu, na aibu iliyoletwa na mataifa iliondolewa.
Yuda na ndugu zake, na jamii yote ya Israeli, walikata shauri ya kuwa siku za kuitabaruku madhabahu ziadhimishwe kwa furaha na shangwe kila mwaka kwa wakati wake, muda wa siku nane tangu ishirini na tano ya mwezi Kislevu.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Nya. 29:10-12 (K) 13
(K) Tulisifu jina lako tukufu, Ee Bwana.
Uhimidiwe, Ee Bwana,
Mungu wa Israeli baba yetu,
Milele na milele. (K)
Ee Bwana, ukuu ni wako,
Na uweza, na utukufu, na kushinda, na enzi.
Utajiri na heshima hutoka kwako. (K)
Wewe watawala juu ya vyote,
Na mkononi mwako mna uweza na nguvu,
Tena mkononi mwako mna kuwatukuza,
Na kuwawezesha wote. (K)
SHANGILIO
Aleluya, aleluya,
Bwana anasema: Siwaiti tena watumwa, lakini ninyi nimewaita rafiki, kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu nimewaarifu.
Aleluya.
INJILI
Lk. 19:45-48
Yesu aliingia hekaluni, akaanza kuwatoa wale waliokuwa wakifanya biashara, akiwaambia, Imeandikwa, Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala; lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.
Naye akawa akifundisha kila siku hekaluni. Lakini wakuu wa makuhani, na waandishi, na wakuu wa watu walikuwa wakitafuta njia ya kumwangamiza; wasione la kutenda, kwa kuwa watu wote walikuwa wakiandamana naye, wakimsikiliza.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
WhatsApp.com
Nyimbo Katoliki | WhatsApp Channel
Nyimbo Katoliki WhatsApp Channel. Karibuni tupate nyimbo mpya za kikatoliki nyimbo nyingine zinapatikana pia katika tovuti yetu katika link hapa chini
https://nyimbokatolik.blogspot.com/?m=1. 79 followers
https://nyimbokatolik.blogspot.com/?m=1. 79 followers
Yesu Kristo ni mfalme by kwaya kuu ya Mt Secilia | https://nyimbokatolik.blogspot.com/2023/11/yesu-kristo-ni-mfalme-by-kwaya-kuu-ya.html
🔴Jiunge nasi whatsapp nyimbo katoliki hapa👇🏻
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
🔴Jiunge nasi whatsapp nyimbo katoliki hapa👇🏻
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
NYIMBO KATOLIKI
Yesu Kristo ni mfalme by kwaya kuu ya Mt Secilia
Search catholic songs here
Kristo ni Yuleyule by Bakhita na Neema Wilbard | https://nyimbokatolik.blogspot.com/2023/11/kristo-ni-yuleyule-by-bakhita-na-neema_26.html
Jiunge nasi whatsapp nyimbo katoliki hapa👇🏻
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
Jiunge nasi whatsapp nyimbo katoliki hapa👇🏻
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
NYIMBO KATOLIKI
Kristo ni Yuleyule by Bakhita na Neema Wilbard
Search catholic songs here
HESBL || MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO | DIPLOMA | https://nyimbokatolik.blogspot.com/2023/11/hesbl-majina-ya-wanafunzi-waliopata.html
💢 Sharing is caring....
💢 Sharing is caring....
NYIMBO KATOLIKI
HESBL || MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO | DIPLOMA
Search catholic songs here
DESEMBA 5, 2023; JUMANNE: JUMA LA 1 LA MAJILIO
mazengo / 4 hours ago
Mt. Saba, Mkaa Pweke Urujuani
Zaburi: Juma 1
SOMO 1: Isa. 11:1-10
Siku ile likatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake litazaa matunda. Na roho ya Bwana itakaa juu yake, roho ya hekima na ufahamu, roho ya shauri na uweza, roho ya maarifa na ya kumcha Bwana; na furaha yake itakuwa katika kumcha Bwana; wala hatahukumu kwa kuyafuata ayaonayo kwa macho yake, wala hataonya kwa kuyafuata ayasikiayo kwa masikio yake; bali kwa haki atawahukumu maskini, naye atawaonya wanyenyekevu wa dunia kwa adili; naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake, na kwa pumzi ya midomo yake atawaua wabaya. Na haki itakuwa mshipi wa viuno vyake, na uaminifu mshipi wa kujifungia.
Mbwa-mwitu atakaa pamoja na mwana-kondoo, na chui atalala pamoja na mwana-mbuzi; ndama na mwana-simba na kinono watakuwa pamoja, na mtoto mdogo atawaongoza. Ng’ombe na dubu watalisha pamoja; watoto wao watalala pamoja; na simba atakula majani kama ng’ombe. Na mtoto anyonyaye atacheza penye tundu la nyoka, na mtoto aliyeachishwa atatia mkono wake katika pango la fira. Hawatadhuru wala hawataharibu katika mlima wangu wote mtakatifu; maana dunia itajawa na kumjua Bwana, kama vile maji yanavyoifunika bahari.
Na itakuwa katika siku hiyo, shina la Yese lisimamalo kuwa ishara kwa kabila za watu, yeye ndiye ambaye mataifa watamtafuta; na mahali pake pa kupumzika patakuwa na utukufu.
WIMBO WA KATIKATI: Zab 72: 1-2, 7-8, 12-13
Ee Mungu, mpe mfalme hukumu zako,
Na mwana wa mfalme haki yako
Atawaamua watu wako kwa haki,
Na watu wako walioonewa kwa hukumu.
K: Siku zake yeye, mtu mwenye haki atasitawi
na wingi wa amani kwa milele.
Siku zake yeye, mtu mwenye haki atasitawi
Na wingi wa amani hata mwezi utakapokoma.
Na awe na enzi toka bahari hata bahari,
Toka Mto hata miisho ya dunia. (K)
Kwa maana atamwokoa mhitaji aliapo,
Na mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi
Atamhurumia aliye dhaifu na maskini,
Na nafsi za wahitaji ataziokoa. (K)
Jina lake na lidumu milele,
Pindi ling’aapo jua jina lake liwe na wazao;
Mataifa yote na wajibariki katika yeye,
Na kumwita heri. (K)
INJILI: Lk. 10:21-24
Siku ile, Yesu alishangilia kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya umewaficha wenye hekima na akili; umewafunulia watoto wachanga; Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza. Akasema, nimekabidhiwa vyote na Baba yangu, wala hakuna amjuaye Mwana ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.
Akawageukia wanafunzi wake, akasema nao kwa faragha, Heri macho yaonayo mnayoyaona ninyi. Kwa kuwa nawaambia ya kwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuyaona mnayoyaona ninyi wasiyaone; na kuyasikia mnayoyasikia ninyi wasiyasikie.
TAFAKARI:
KILA MTU ANA BAHATI YAKE: Nabii Isaya katika somo la kwanza anazungumzia watu wenye tabia ya kuamua mambo bila haki. Kuna mtu ambaye akisikia jambo bila hata ya kufanya uchunguzi kupata uhakika na kujua hali halisi, unakuta anatoa hukumu. Raisi mstaafu wa Tanzania mheshimiwa Jakaya Kikwete, aliwahi kusema, “Akili ya kuambiwa, changanya na ya kwako.” Alimaanisha kuwa usione tu jambo na kutoa hukumu, tenda haki kwa kuliwaza na kuliamulia wewe binafsi. Yesu katika Injili anawadhihirishia wanafunzi wake kuwa, wana bahati ya pekee kwa yale yaliyofuniliwa kwao. Anawasihi wasifanye mzaha na kuyapuuzilia mbali. Hii kwao ni bahati kweli na ndipo anasema, “Heri macho yaonayo mnayoyaona ninyi.” Hii bahati tuliyo nayo kila mmoja wetu, tusiipuuzilie. Tunaalikwa kujitazama na kujiuliza, tuna bahati gani tumejaliwa katika maisha na tumezitumiaje?
SALA: Baba wa Mbinguni, tunaomba utupe macho maangavu ili tutambue na kuthamini yale unayotujalia katika maisha yetu. Amina.
The post DESEMBA 5, 2023; JUMANNE: JUMA LA 1 LA MAJILIO appeared first on Claretian Publications.
http://nyimbokatolik.blogspot.com/2023/12/desemba-5-2023-jumanne-juma-la-1-la.html
mazengo / 4 hours ago
Mt. Saba, Mkaa Pweke Urujuani
Zaburi: Juma 1
SOMO 1: Isa. 11:1-10
Siku ile likatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake litazaa matunda. Na roho ya Bwana itakaa juu yake, roho ya hekima na ufahamu, roho ya shauri na uweza, roho ya maarifa na ya kumcha Bwana; na furaha yake itakuwa katika kumcha Bwana; wala hatahukumu kwa kuyafuata ayaonayo kwa macho yake, wala hataonya kwa kuyafuata ayasikiayo kwa masikio yake; bali kwa haki atawahukumu maskini, naye atawaonya wanyenyekevu wa dunia kwa adili; naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake, na kwa pumzi ya midomo yake atawaua wabaya. Na haki itakuwa mshipi wa viuno vyake, na uaminifu mshipi wa kujifungia.
Mbwa-mwitu atakaa pamoja na mwana-kondoo, na chui atalala pamoja na mwana-mbuzi; ndama na mwana-simba na kinono watakuwa pamoja, na mtoto mdogo atawaongoza. Ng’ombe na dubu watalisha pamoja; watoto wao watalala pamoja; na simba atakula majani kama ng’ombe. Na mtoto anyonyaye atacheza penye tundu la nyoka, na mtoto aliyeachishwa atatia mkono wake katika pango la fira. Hawatadhuru wala hawataharibu katika mlima wangu wote mtakatifu; maana dunia itajawa na kumjua Bwana, kama vile maji yanavyoifunika bahari.
Na itakuwa katika siku hiyo, shina la Yese lisimamalo kuwa ishara kwa kabila za watu, yeye ndiye ambaye mataifa watamtafuta; na mahali pake pa kupumzika patakuwa na utukufu.
WIMBO WA KATIKATI: Zab 72: 1-2, 7-8, 12-13
Ee Mungu, mpe mfalme hukumu zako,
Na mwana wa mfalme haki yako
Atawaamua watu wako kwa haki,
Na watu wako walioonewa kwa hukumu.
K: Siku zake yeye, mtu mwenye haki atasitawi
na wingi wa amani kwa milele.
Siku zake yeye, mtu mwenye haki atasitawi
Na wingi wa amani hata mwezi utakapokoma.
Na awe na enzi toka bahari hata bahari,
Toka Mto hata miisho ya dunia. (K)
Kwa maana atamwokoa mhitaji aliapo,
Na mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi
Atamhurumia aliye dhaifu na maskini,
Na nafsi za wahitaji ataziokoa. (K)
Jina lake na lidumu milele,
Pindi ling’aapo jua jina lake liwe na wazao;
Mataifa yote na wajibariki katika yeye,
Na kumwita heri. (K)
INJILI: Lk. 10:21-24
Siku ile, Yesu alishangilia kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya umewaficha wenye hekima na akili; umewafunulia watoto wachanga; Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza. Akasema, nimekabidhiwa vyote na Baba yangu, wala hakuna amjuaye Mwana ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.
Akawageukia wanafunzi wake, akasema nao kwa faragha, Heri macho yaonayo mnayoyaona ninyi. Kwa kuwa nawaambia ya kwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuyaona mnayoyaona ninyi wasiyaone; na kuyasikia mnayoyasikia ninyi wasiyasikie.
TAFAKARI:
KILA MTU ANA BAHATI YAKE: Nabii Isaya katika somo la kwanza anazungumzia watu wenye tabia ya kuamua mambo bila haki. Kuna mtu ambaye akisikia jambo bila hata ya kufanya uchunguzi kupata uhakika na kujua hali halisi, unakuta anatoa hukumu. Raisi mstaafu wa Tanzania mheshimiwa Jakaya Kikwete, aliwahi kusema, “Akili ya kuambiwa, changanya na ya kwako.” Alimaanisha kuwa usione tu jambo na kutoa hukumu, tenda haki kwa kuliwaza na kuliamulia wewe binafsi. Yesu katika Injili anawadhihirishia wanafunzi wake kuwa, wana bahati ya pekee kwa yale yaliyofuniliwa kwao. Anawasihi wasifanye mzaha na kuyapuuzilia mbali. Hii kwao ni bahati kweli na ndipo anasema, “Heri macho yaonayo mnayoyaona ninyi.” Hii bahati tuliyo nayo kila mmoja wetu, tusiipuuzilie. Tunaalikwa kujitazama na kujiuliza, tuna bahati gani tumejaliwa katika maisha na tumezitumiaje?
SALA: Baba wa Mbinguni, tunaomba utupe macho maangavu ili tutambue na kuthamini yale unayotujalia katika maisha yetu. Amina.
The post DESEMBA 5, 2023; JUMANNE: JUMA LA 1 LA MAJILIO appeared first on Claretian Publications.
http://nyimbokatolik.blogspot.com/2023/12/desemba-5-2023-jumanne-juma-la-1-la.html
NYIMBO KATOLIKI
MASOMO YA MISA DESEMBA 5, 2023; JUMANNE: JUMA LA 1 LA MAJILIO
Search catholic songs here
MASOMO YA MISA DESEMBA 6, 2023
JUMATANO, JUMA LA 1 LA MAJILIO
SOMO 1
Isa. 25:6-10
Siku ile Bwana wa majeshi atawafanyia mataifa yote karamu ya vitu vinono, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, karamu ya vinono vilivyojaa mafuta, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, iliyochujwa sana. Naye katika mlima huu atauharibu uso wa sitara iliyowekwa juu ya watu wote, na utaji ule uliotandwa juu ya mataifa yote. Amemeza mauti hata milele; na Bwana Mungu atafuta machozi katika nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote; maana Bwana amenena hayo.
Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye Bwana tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.
Kwa maana mkono wa Bwana utatulia katika mlima huu.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 23:1-3,5-6 (K) 6
(K) Nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.
Bwana ndiye mchungaji wangu,
Sitapungukiwa na kitu.
Katika malisho ya majani mabichi hunilaza. (K)
Kando ya maji ya utulivu huniongoza,
Hunihuisha nafsi yangu na kuniongoza.
Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake. (K)
Waandaa meza mbele yangu,
Machoni pa watesi wangu.
Umenipaka mafuta kichwani pangu,
Na kikombe changu kinafurika. (K)
Hakika wema na fadhili zitanifuata,
Siku zote za maisha yangu;
Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele. (K)
SHANGILIO
Aleluya, aleluya,
Tazama Bwana atakuja kuwaokoa watu wake, Heri walio tayari kumlaki.
Aleluya.
INJILI
Mt. 15:29-37
Siku ile: Yesu alifika kando ya bahari ya Galilaya; akapanda mlimani, akaketi huko. Wakamwendea makutano mengi wakimletea viwete, vipofu, mabubu, vilema, na wengine wengi, wakawaweka miguuni pake; akawaponya; hata ule mkutano wakastaajabu, walipowaona mabubu wanasema, vilema wanakuwa wazima, viwete wanakwenda, na vipofu wanaona; wakamtukuza Mungu wa Israeli.
Yesu akawaita wanafunzi wake, akasema, Nawahurumia mkutano, kwa kuwa yapata siku tatu wamekaa pamoja nami, wala hawana kitu cha kula; tena kuwaaga wakifunga sipendi, wasije wakazimia njiani. Wanafunzi wake wakamwambia, Tupate wapi mikate mingi hapa nyikani, hata kushibisha mkutano mkuu namna hii? Yesu akawaambia, Mnayo mikate mingapi? Wakasema, Saba, na visamaki vichache.
Akawaagiza mkutano waketi chini; akaitwaa ile mikate saba na vile visamaki, akashukuru akavimega, akawapa wanafunzi wake, nao wanafunzi wakawapa makutano. Wakala wote wakashiba; wakayaokota masazo ya vipande vya mikate, makanda saba, yamejaa.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.
http://nyimbokatolik.blogspot.com/2023/12/masomo-ya-misa-desemba-6-2023-jumatano.html
JUMATANO, JUMA LA 1 LA MAJILIO
SOMO 1
Isa. 25:6-10
Siku ile Bwana wa majeshi atawafanyia mataifa yote karamu ya vitu vinono, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, karamu ya vinono vilivyojaa mafuta, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, iliyochujwa sana. Naye katika mlima huu atauharibu uso wa sitara iliyowekwa juu ya watu wote, na utaji ule uliotandwa juu ya mataifa yote. Amemeza mauti hata milele; na Bwana Mungu atafuta machozi katika nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote; maana Bwana amenena hayo.
Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye Bwana tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.
Kwa maana mkono wa Bwana utatulia katika mlima huu.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 23:1-3,5-6 (K) 6
(K) Nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.
Bwana ndiye mchungaji wangu,
Sitapungukiwa na kitu.
Katika malisho ya majani mabichi hunilaza. (K)
Kando ya maji ya utulivu huniongoza,
Hunihuisha nafsi yangu na kuniongoza.
Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake. (K)
Waandaa meza mbele yangu,
Machoni pa watesi wangu.
Umenipaka mafuta kichwani pangu,
Na kikombe changu kinafurika. (K)
Hakika wema na fadhili zitanifuata,
Siku zote za maisha yangu;
Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele. (K)
SHANGILIO
Aleluya, aleluya,
Tazama Bwana atakuja kuwaokoa watu wake, Heri walio tayari kumlaki.
Aleluya.
INJILI
Mt. 15:29-37
Siku ile: Yesu alifika kando ya bahari ya Galilaya; akapanda mlimani, akaketi huko. Wakamwendea makutano mengi wakimletea viwete, vipofu, mabubu, vilema, na wengine wengi, wakawaweka miguuni pake; akawaponya; hata ule mkutano wakastaajabu, walipowaona mabubu wanasema, vilema wanakuwa wazima, viwete wanakwenda, na vipofu wanaona; wakamtukuza Mungu wa Israeli.
Yesu akawaita wanafunzi wake, akasema, Nawahurumia mkutano, kwa kuwa yapata siku tatu wamekaa pamoja nami, wala hawana kitu cha kula; tena kuwaaga wakifunga sipendi, wasije wakazimia njiani. Wanafunzi wake wakamwambia, Tupate wapi mikate mingi hapa nyikani, hata kushibisha mkutano mkuu namna hii? Yesu akawaambia, Mnayo mikate mingapi? Wakasema, Saba, na visamaki vichache.
Akawaagiza mkutano waketi chini; akaitwaa ile mikate saba na vile visamaki, akashukuru akavimega, akawapa wanafunzi wake, nao wanafunzi wakawapa makutano. Wakala wote wakashiba; wakayaokota masazo ya vipande vya mikate, makanda saba, yamejaa.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.
http://nyimbokatolik.blogspot.com/2023/12/masomo-ya-misa-desemba-6-2023-jumatano.html
NYIMBO KATOLIKI
MASOMO YA MISA DESEMBA 6, 2023 JUMATANO, JUMA LA 1 LA MAJILIO
Search catholic songs here
Kama wewe ni mpenzi wa soccer, tumekusogezea tovuti safi ya kuweza kutazama mechi zote popote ulipo ukiwa na smartphone pekee, ni bure kabisa
CC SmartArts
Anza na hii ya Man U👇🏻 https://channelsstore.blogspot.com/2023/12/eleven-sports-1.html
CC SmartArts
Anza na hii ya Man U👇🏻 https://channelsstore.blogspot.com/2023/12/eleven-sports-1.html
Channels
Eleven sports 1
Iframe with Styled Fullscreen Button Enter Fullscreen
⚽ TODAY'S MATCHES FIXTURES & LIVESTREAMS
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches
CC SmartArts
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches
CC SmartArts
CHANNELS STORE
⚽ TODAY'S MATCHES FIXTURES & LIVESTREAMS
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches
CC SmartArts
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches
CC SmartArts
CHANNELS STORE
⚽ TODAY'S MATCHES FIXTURES & LIVESTREAMS
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches
CC SmartArts
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches
CC SmartArts
CHANNELS STORE
🔥🔥Watch Live Football, Movies, News and Music on your mobile phone for free.
⚽️ Watch all international League matches on our *CHANNELS STORE*
Click here to watch live👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/?m=1
⚽️ Watch all international League matches on our *CHANNELS STORE*
Click here to watch live👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/?m=1
CHANNELS STORE
⚽ TODAY'S MATCHES FIXTURES & LIVESTREAMS
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches
CC SmartArts
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches
CC SmartArts
CHANNELS STORE
Chelsea Vs Crystal Palace | https://channelsstore.blogspot.com/2023/12/chelsea-vs-crystal-palace.html
⚽ TODAY'S MATCHES FIXTURES & LIVESTREAMS
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches/2023
CC SmartArts
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search/label/Todays%20Matches/2023
CC SmartArts
CHANNELS STORE
⚽ TODAY'S MATCHES FIXTURES & LIVESTREAMS
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search
🔗Ungana nasi whatsapp hapa 👇🏻
https://chat.whatsapp.com/KmBJOOJnt9EHEvX5h05os7
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search
🔗Ungana nasi whatsapp hapa 👇🏻
https://chat.whatsapp.com/KmBJOOJnt9EHEvX5h05os7
CHANNELS STORE
⚽ TODAY'S MATCHES FIXTURES & LIVESTREAMS
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search
🔗Ungana nasi whatsapp hapa 👇🏻
https://chat.whatsapp.com/KmBJOOJnt9EHEvX5h05os7
💢Tazama mechi za leo live kupitia simu yako bure kabisa popote ulipo
👇🏻
https://channelsstore.blogspot.com/search
🔗Ungana nasi whatsapp hapa 👇🏻
https://chat.whatsapp.com/KmBJOOJnt9EHEvX5h05os7
CHANNELS STORE
*MASOMO YA MISA, IJUMAA, FEBRUARI 16, 2024*
*IJUMAA BAADA YA MAJIVU*
SOMO 1
Isa. 58:1-9
Bwana Mungu asema hivi: Piga kelele, usiache paza sauti yako kama tarumbeta; uwahubiri watu wangu kosa lao, na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
Walakini wakinitafuta kila siku; hupenda kujua njia zangu; kama vile taifa waliotenda haki, wasioacha sheria ya Mungu wao, hutaka kwangu amri za haki; hufurahi kumkaribia Mungu. Husema, Mbona tumefunga, lakini huoni? Mbona tumejitaabisha nafsi zetu, lakini huangalii? Fahamuni, siku ya kufunga kwenu mnatafuta anasa zenu wenyewe, na kuwalemea wote watendao kazi kwenu.
Tazama, ninyi mwafunga mpate kushindana na kugombana, na kupiga kwa ngumi ya uvou. Hamfungi siku hii ya leo hata kuiskizisha sauti yenu juu. Je! Kufunga namna hii ni saumu niliyoichagua mimi? Je! Si siku ya mtu kujitaabisha nafsi yake? Ni kuinama kichwa kama unyasi, na kutanda nguo za magunia na majivu chini yake?
Je! Utasema ni siku ya kufunga, na ya kukubaliwa na Bwana. Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira? Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usijifiche na mtu mwenye damu moja nawe?
Ndipo nuru yako itakapopambazuka kama asubuhi, na afya ayko itatokea mara; na haki yako itakutangulia; utukufu wa Bwana utakufuata nyuma ukulinde. Ndipo utaita, na Bwana ataitika; atalia, naye atasema, Mimi hapa.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 51:3-4, 5-6a, 18-19 (K) 17
(K) Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutadharau.
Maana nimejua mimi makosa yangu,
Na dhambi yangu I mbele yangu daima.
Nimekutenda dhambi Wewe peke yako.
Na kufanya maovu mbele za macho yako. (K)
Tazama, mimi naliumbwa katika hali ya uovu;
Mama yangu alinichukua mimba hatiani.
Tazama, wapendezwa na kweli iliyo moyoni;
Nawe utanijulisha hekima kwa siri. (K)
Uitendee mema Sayuni kwa radhi yako,
Uzijenge kuta za Yerusalemu.
Ndipo utakapopendezwa na dhabihu za haki;
Na sadaka za kuteketezwa, na kafara. (K)
SHANGILIO
Ez. 18:31
Tupilieni mbali nanyi makosa yenu yote mliyoyakosa; Jifanyieni moyo mpya na roho mpya.
INJILI
Mt. 9:14:15
Siku ile: Yesu alipofika ng’ambo, katika nchi ya Wagerasi, wanafunzi wake Yohane wakamwendea, wakasema, Kwa nini sisi na Mafarisayo twafunga, bali wanafunzi wako hawafungi? Yesu akawaambia, Walioalikwa arusini wawezaje kuomboleza, muda bwana arusi akiwapo pamoja nao? Lakini siku zitakuja watakapoondolewa bwana arusi; ndipo watakapofunga.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
*IJUMAA BAADA YA MAJIVU*
SOMO 1
Isa. 58:1-9
Bwana Mungu asema hivi: Piga kelele, usiache paza sauti yako kama tarumbeta; uwahubiri watu wangu kosa lao, na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
Walakini wakinitafuta kila siku; hupenda kujua njia zangu; kama vile taifa waliotenda haki, wasioacha sheria ya Mungu wao, hutaka kwangu amri za haki; hufurahi kumkaribia Mungu. Husema, Mbona tumefunga, lakini huoni? Mbona tumejitaabisha nafsi zetu, lakini huangalii? Fahamuni, siku ya kufunga kwenu mnatafuta anasa zenu wenyewe, na kuwalemea wote watendao kazi kwenu.
Tazama, ninyi mwafunga mpate kushindana na kugombana, na kupiga kwa ngumi ya uvou. Hamfungi siku hii ya leo hata kuiskizisha sauti yenu juu. Je! Kufunga namna hii ni saumu niliyoichagua mimi? Je! Si siku ya mtu kujitaabisha nafsi yake? Ni kuinama kichwa kama unyasi, na kutanda nguo za magunia na majivu chini yake?
Je! Utasema ni siku ya kufunga, na ya kukubaliwa na Bwana. Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira? Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usijifiche na mtu mwenye damu moja nawe?
Ndipo nuru yako itakapopambazuka kama asubuhi, na afya ayko itatokea mara; na haki yako itakutangulia; utukufu wa Bwana utakufuata nyuma ukulinde. Ndipo utaita, na Bwana ataitika; atalia, naye atasema, Mimi hapa.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 51:3-4, 5-6a, 18-19 (K) 17
(K) Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutadharau.
Maana nimejua mimi makosa yangu,
Na dhambi yangu I mbele yangu daima.
Nimekutenda dhambi Wewe peke yako.
Na kufanya maovu mbele za macho yako. (K)
Tazama, mimi naliumbwa katika hali ya uovu;
Mama yangu alinichukua mimba hatiani.
Tazama, wapendezwa na kweli iliyo moyoni;
Nawe utanijulisha hekima kwa siri. (K)
Uitendee mema Sayuni kwa radhi yako,
Uzijenge kuta za Yerusalemu.
Ndipo utakapopendezwa na dhabihu za haki;
Na sadaka za kuteketezwa, na kafara. (K)
SHANGILIO
Ez. 18:31
Tupilieni mbali nanyi makosa yenu yote mliyoyakosa; Jifanyieni moyo mpya na roho mpya.
INJILI
Mt. 9:14:15
Siku ile: Yesu alipofika ng’ambo, katika nchi ya Wagerasi, wanafunzi wake Yohane wakamwendea, wakasema, Kwa nini sisi na Mafarisayo twafunga, bali wanafunzi wako hawafungi? Yesu akawaambia, Walioalikwa arusini wawezaje kuomboleza, muda bwana arusi akiwapo pamoja nao? Lakini siku zitakuja watakapoondolewa bwana arusi; ndipo watakapofunga.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
WhatsApp.com
Nyimbo Katoliki | WhatsApp Channel
Nyimbo Katoliki WhatsApp Channel. Karibuni tupate nyimbo mpya za kikatoliki nyimbo nyingine zinapatikana pia katika tovuti yetu katika link hapa chini
https://nyimbokatolik.blogspot.com/?m=1. 79 followers
https://nyimbokatolik.blogspot.com/?m=1. 79 followers
*MASOMO YA MISA*
*JUMATANO,JUMA LA 2 LA KWARESIMA*
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
SOMO 1
Yer. 18-18-20
Waliposema, Njoni na tufanye mashauri juu ya Yeremia; maana sheria haitampotea kuhani, wala shauri halitampotea mwenye hekima, wala neno halitampotea nabii. Njoni, na tumpige kwa ndimi zetu, wala tusiyaangalie maneno yake yoyote.
Niangalie, Ee Bwana, ukasikilize sauti ya wanaoshindana nami. Je! Mabaya yalipwe badala ya mema? Maana wameichimbia nafsi yangu shimo. Kumbuka jinsi nilivyosimama mbele zako, ili nisema mema kwa ajili yao, nikaigeuze ghadhabu yako isiwapate.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 31:4-5, 13-15 (K) 16
(K) Uniokoe kwa ajili ya fadhili zako, Ee Bwana.
Utanitoa katika wavu walionitegea kwa siri,
Maana Wewe ndiwe ngome yangu.
Mikononi mwako naiweka roho yangu;
Umenikomboa, Ee Bwana, Mungu wa kweli. (K)
Maana nimesikia masingizio ya wengi;
Hofu ziko pande zote.
Waliposhauriana juu yangu,
Walifanya hila wauondoe uhai wangu. (K)
Lakini mimi nakutumaini Wewe, Bwana,
Nimesema, Wewe ndiwe Mungu wangu.
Nyakati zangu zimo mikononi mwako;
Uniponye na adui zangu, nao wanaonifuatia. (K)
SHANGILIO
Lk. 8:15
Heri wale walishikao neno la Mungu katika moyo wao mwema na unyofu, na wazaao matunda katika uvumilivu.
INJILI
Mt. 20:17-28
Yesu alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani; na njiani akawaambia, Angalieni, tunapanda kwenda Yerusalemu; na Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi nao watamhukumu afe; kisha watampeleka kwa Mataifa wapate kumdhihaki, na kumpiga mijeledi na kumsulibisha; na siku ya tatu atafufuka.
Ndipo mama yao wana wa Zebedayo akamwendea pamoja na wanawe, akamsujudia, na kumwomba neno. Akamwambia, Wataka nini? Akamwambia, agiza kwamba hawa wanangu wawili waketi mmoja mkono wako wa kuume, na mmoja mkono wako wa kushoto, katika ufalme wako. Yesu akajibu akasema, Hamjui mnaloliomba. Je! Mwaweza kunywea kikombe nitakachonywea mimi? Wakamwambia, Twaweza. Akawaambia, Hakika mtakinywa kikombe change; lakini kuketi mkono wangu wa kuume na mkono wangu wa kushoto, sina amri kuwapa, bali watapewa waliowekewa tayari na Baba yangu.
Na wale kumi waliposikia, waliwakasirikia wale ndugu wawili. Lakini Yesu akawaita, akasema, Mwajua ya kuwa wakuu wa Mataifa huwatawala kwa nguvu, na wakubwa wao huwatumikisha. Lakini haitakuwa hivyo kwenu; bali mtu yeyote anayetaka kuwa mkubwa kwenu, na awe mtumishi wenu; na mtu yeyote anayetaka kuwa wa kwanza kwenu na awe mtumwa wenu; kama vile Mwana wa Adamu asivyokuja kutumikiwa, bali kutumikia na kutoa nafsi yake iwe fidia ya wengi.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.
[3/7/2023, 23:06] Mathew Maria: *“KWARESIMA YA UKARIMU”*
*Tafakari ya Kwaresima*
*Jumatano, Machi 8, 2023*
*Juma la 2 la Kwaresima*
Yer 18:18-20;
Zab 31:5-6,14-16;
Mt 20:17-28.
*JE, TWAWEZA KUKINYWEA KIKOMBE CHA YESU?*
Ni rahisi kuwa na nia nzuri, lakini hiyo inatosha? Mama mpendwa anamwambia Yesu aagize kwamba wanawe, mmoja aketi upande wake wa kulia na mwingine upande wa kushoto katika Ufalme wake. Lakini, ni vizuri kutambua kwamba hakujua alichokuwa akiomba. Yesu alikuwa akienda Yerusalemu sehemu ambayo atapata utukufu wake kwa njia ya mateso msalabani. Ni katika hali hii Yesu anawauliza Yakobo na Yohane kama wanaweza kunywea kikombe hiki. Walikuwa wamealikwa na Yesu kutolea maisha yao kwa sadaka kwa ajili ya upendo kwa wengine. Walipaswa kuacha woga wote na kusema “NDIO” kwa misalaba yao wakati wakumtumikia Kristo na utume wake.
Kumfuata Yesu sio kitu ambacho tunapaswa kufuata nusu nusu. Kama tunataka kuwa wafuasi wa kweli wa Yesu, tunapaswa kukinywea kikombe cha damu yake takatifu ndani kabisa katika mioyo yetu na kujazwa na zawadi ili tuweze kujitoa wenyewe hata kufikia kiwango cha kujitoa kabisa sadaka. Tunapaswa kuwa tayari kutokuwa na kitu au kushikilia vitu, hata kama ikiwa ni sadaka kubwa. Tunaitwa wote kuwa wafiadini wa kiroho.
*JUMATANO,JUMA LA 2 LA KWARESIMA*
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R
SOMO 1
Yer. 18-18-20
Waliposema, Njoni na tufanye mashauri juu ya Yeremia; maana sheria haitampotea kuhani, wala shauri halitampotea mwenye hekima, wala neno halitampotea nabii. Njoni, na tumpige kwa ndimi zetu, wala tusiyaangalie maneno yake yoyote.
Niangalie, Ee Bwana, ukasikilize sauti ya wanaoshindana nami. Je! Mabaya yalipwe badala ya mema? Maana wameichimbia nafsi yangu shimo. Kumbuka jinsi nilivyosimama mbele zako, ili nisema mema kwa ajili yao, nikaigeuze ghadhabu yako isiwapate.
Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 31:4-5, 13-15 (K) 16
(K) Uniokoe kwa ajili ya fadhili zako, Ee Bwana.
Utanitoa katika wavu walionitegea kwa siri,
Maana Wewe ndiwe ngome yangu.
Mikononi mwako naiweka roho yangu;
Umenikomboa, Ee Bwana, Mungu wa kweli. (K)
Maana nimesikia masingizio ya wengi;
Hofu ziko pande zote.
Waliposhauriana juu yangu,
Walifanya hila wauondoe uhai wangu. (K)
Lakini mimi nakutumaini Wewe, Bwana,
Nimesema, Wewe ndiwe Mungu wangu.
Nyakati zangu zimo mikononi mwako;
Uniponye na adui zangu, nao wanaonifuatia. (K)
SHANGILIO
Lk. 8:15
Heri wale walishikao neno la Mungu katika moyo wao mwema na unyofu, na wazaao matunda katika uvumilivu.
INJILI
Mt. 20:17-28
Yesu alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani; na njiani akawaambia, Angalieni, tunapanda kwenda Yerusalemu; na Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi nao watamhukumu afe; kisha watampeleka kwa Mataifa wapate kumdhihaki, na kumpiga mijeledi na kumsulibisha; na siku ya tatu atafufuka.
Ndipo mama yao wana wa Zebedayo akamwendea pamoja na wanawe, akamsujudia, na kumwomba neno. Akamwambia, Wataka nini? Akamwambia, agiza kwamba hawa wanangu wawili waketi mmoja mkono wako wa kuume, na mmoja mkono wako wa kushoto, katika ufalme wako. Yesu akajibu akasema, Hamjui mnaloliomba. Je! Mwaweza kunywea kikombe nitakachonywea mimi? Wakamwambia, Twaweza. Akawaambia, Hakika mtakinywa kikombe change; lakini kuketi mkono wangu wa kuume na mkono wangu wa kushoto, sina amri kuwapa, bali watapewa waliowekewa tayari na Baba yangu.
Na wale kumi waliposikia, waliwakasirikia wale ndugu wawili. Lakini Yesu akawaita, akasema, Mwajua ya kuwa wakuu wa Mataifa huwatawala kwa nguvu, na wakubwa wao huwatumikisha. Lakini haitakuwa hivyo kwenu; bali mtu yeyote anayetaka kuwa mkubwa kwenu, na awe mtumishi wenu; na mtu yeyote anayetaka kuwa wa kwanza kwenu na awe mtumwa wenu; kama vile Mwana wa Adamu asivyokuja kutumikiwa, bali kutumikia na kutoa nafsi yake iwe fidia ya wengi.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.
[3/7/2023, 23:06] Mathew Maria: *“KWARESIMA YA UKARIMU”*
*Tafakari ya Kwaresima*
*Jumatano, Machi 8, 2023*
*Juma la 2 la Kwaresima*
Yer 18:18-20;
Zab 31:5-6,14-16;
Mt 20:17-28.
*JE, TWAWEZA KUKINYWEA KIKOMBE CHA YESU?*
Ni rahisi kuwa na nia nzuri, lakini hiyo inatosha? Mama mpendwa anamwambia Yesu aagize kwamba wanawe, mmoja aketi upande wake wa kulia na mwingine upande wa kushoto katika Ufalme wake. Lakini, ni vizuri kutambua kwamba hakujua alichokuwa akiomba. Yesu alikuwa akienda Yerusalemu sehemu ambayo atapata utukufu wake kwa njia ya mateso msalabani. Ni katika hali hii Yesu anawauliza Yakobo na Yohane kama wanaweza kunywea kikombe hiki. Walikuwa wamealikwa na Yesu kutolea maisha yao kwa sadaka kwa ajili ya upendo kwa wengine. Walipaswa kuacha woga wote na kusema “NDIO” kwa misalaba yao wakati wakumtumikia Kristo na utume wake.
Kumfuata Yesu sio kitu ambacho tunapaswa kufuata nusu nusu. Kama tunataka kuwa wafuasi wa kweli wa Yesu, tunapaswa kukinywea kikombe cha damu yake takatifu ndani kabisa katika mioyo yetu na kujazwa na zawadi ili tuweze kujitoa wenyewe hata kufikia kiwango cha kujitoa kabisa sadaka. Tunapaswa kuwa tayari kutokuwa na kitu au kushikilia vitu, hata kama ikiwa ni sadaka kubwa. Tunaitwa wote kuwa wafiadini wa kiroho.
WhatsApp.com
Nyimbo Katoliki | WhatsApp Channel
Nyimbo Katoliki WhatsApp Channel. Karibuni tupate nyimbo mpya za kikatoliki nyimbo nyingine zinapatikana pia katika tovuti yetu katika link hapa chini
https://nyimbokatolik.blogspot.com/?m=1. 79 followers
https://nyimbokatolik.blogspot.com/?m=1. 79 followers
Hii ina maana kwamba tunapaswa kujikabidhi wenyewe kwa Kristo na mapenzi yake na hii ina maana kwamba tutakuwa tumekufa wenyewe kutoka katika ubinafsi wetu.
“Je, twaweza kukinywea kikombe ambacho Yesu alikinywea?” je, upendo wako kwa Mungu na jirani waweza kuwa mkamilifu kiasi kwamba unakuwa mfiadini katika maana halisi ya neno lenyewe? Jitambue na sema “Ndio” na kunywa katika kikombe cha damu yake Takatifu na kila siku toa maisha yako kwa sadaka kamili. Unastahili na unaweza!
Sala: Bwana, ninaomba upendo wangu kwako na kwa wengine uongezeke kiasi kwamba sishikilii kitu kingine nyuma yangu. Ninakuomba zawadi ya damu yako Takatifu iwe nguvu katika safari hii ili niweze kuiga sadaka yako kamili ya upendo. Yesu nakumini wewe. Amina
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R/287
“Je, twaweza kukinywea kikombe ambacho Yesu alikinywea?” je, upendo wako kwa Mungu na jirani waweza kuwa mkamilifu kiasi kwamba unakuwa mfiadini katika maana halisi ya neno lenyewe? Jitambue na sema “Ndio” na kunywa katika kikombe cha damu yake Takatifu na kila siku toa maisha yako kwa sadaka kamili. Unastahili na unaweza!
Sala: Bwana, ninaomba upendo wangu kwako na kwa wengine uongezeke kiasi kwamba sishikilii kitu kingine nyuma yangu. Ninakuomba zawadi ya damu yako Takatifu iwe nguvu katika safari hii ili niweze kuiga sadaka yako kamili ya upendo. Yesu nakumini wewe. Amina
https://whatsapp.com/channel/0029Va9CVfSJ3jv2m4V0zB2R/287
WhatsApp.com
Nyimbo Katoliki | WhatsApp Channel
Nyimbo Katoliki WhatsApp Channel. Karibuni tupate nyimbo mpya za kikatoliki nyimbo nyingine zinapatikana pia katika tovuti yetu katika link hapa chini
https://nyimbokatolik.blogspot.com/?m=1. 79 followers
https://nyimbokatolik.blogspot.com/?m=1. 79 followers